Aisee nilikuwa naangalia documentary ya hili shamba la wanyama pori chato ni bonge mojaa la sehemu na Project ya maana sana... Tanzania tulivyokuwa na Hekta za maporii ambazo hazitumiki nadhani hii ni Bonge moja ya Idea hakika Magufuli alikuwa mbele ya Mudaa maana wengi waliponda sana idea yake...
Hivi kweli hili sualaa haliwezi kufika mwisho??? Yani leo lipo mahakama hii kesho mahakama ileee tafranii tupuu..Watumie tu ubabe bhasii waliopewaa Mkataba waanze kazi kwa lazimaa maana huu ni ujingaa sasaaa kila siku habari ndo hizo hizooo hakuna kingine cha Manaa. Hapo bandarini sidhani hata...
Ndugu zangu najua baadhi yetu mna experience namna ya kuishi na mzazi aliepata Pensheni alafu akawa na matumizi ambayo unaona sio sahihi lakini sasa changamoto hela ni zake.
Je, kama familia mlifanya nini? Je, ilisaidia na kuleta matokeo mazuri maana unaweza jikuta unagombaa na mzazi mwisho wa...
Katika jambo ambalo naona haliko sawa hadi leo ni suala la Kuanza kutaja madeni ya marehemu msibani kama kuna mtu anamdai why asiifate familia kumtunzia heshima marehemu?
Kwenye msiba wa Lemutuz yule Pinto anasema nyumba aliyokuwa anaishi lemutuz ni yake hata Gari noah alimuazima sio ya...
Aisee baada ya kifo cha TAKE OFF sijui kama kundi litaendelea kuhit..kifo cha jamaa kimetikisa sana yani bado najiuliza why niggaz wanauana sana huko USA?? ukisikiliza album kama CULTURE III ndo utajua migos ni mafundi sana yani flow zimekaa mahala pake. Hadi sasa sijaona kundi lenye ngoma kali...
Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kutupia screenshot tu za namna dada zetu wanatupanga ili watupige mizinga kwa kutumia Visingizio mbali mbali ambavyo havipo kabisaa..[emoji3][emoji3][emoji3] kama naumwa..nitumie nauli alafu haji..mama anaumwa au nimepata safari ya ghafla nina matatizo...
Katika maisha ya mahusiano ya Kijana kuna changamoto nyingi sana lakini Kiukweli kudate na Binti ambaye anahitaji sana ndoa ni shida sana sijui kama ni sahihi Kumuacha Binti uliyedumu naye karibu miaka 3 kisa tu anakomaa mfunge ndoa na kumtolea mahari wakati wewe haupo tayari?
Leo kumetokea tukio baya sana kwa Usalama wa nchi yetu labda ni tukio baya sana kuwahi kushuhudiwa toka matukio ya enzi za Mauaji ya KIBITI yaliyolikumba nchi yetu enzi zile za Rais Magufuli sijui nini maana yake lakini Hii sio bahati mbaya.. yes sio bahati mbaya! Habari za kuuliwa polisi watatu...
Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana...
Storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe...
Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki njia kuu kwa...
Mimi aliniomba 100K aongeze kwenye kodi wakati me mwenyewe kodi jau enzi za chuo hizo nikamwambia asubiri nipate boom. Akasema mwanaume wa kutegemea boom nae mwanaume sasa[emoji24][emoji24][emoji24]
Kitu gani cha dharau alichowahi kukwambia babe wako alipokuomba hela ukasema huna?
Toka jana kumekuwa na Mjadala mzito sana kuhusiana na Bil. 20 ambazo MO alitakiwa awe amezitoa tokana na kuchukua 49% ya hisa za Simba lakini hili Jambo SIASA imetawalaa kuliko uhalisiaa na ndo hapo nasema "Maskini Akipata Matacco mbwata" sasa wana simba wamejisahau sana na kuona mambo ni...
Aiseee kuna watu wanajua sanaa ila FIREBOY ni moja wa wasaniii wakali sana kwa sasa Nigeria huwezi ongea kuhusu mziki ukamuacha huyu mwambaa... Ametoa album mpya inaitwaa APOLLO baada ya LTG iliyofanya vizuri sana ikiwa na nyimbo kali kama VIBRATION...NEED YOU..ENERGY..WAIT N SEE. Kiufupi kwa...
Jamani habari wakuu,
Natumaini mpo poa kuna jambo nataka kujua kutoka kwenu hasa kwa wale wanaume wenzangu mliopatwa na jambo kama hili.
Hivi ikitokea umezaa na mwanamke flani mtoto na mmedumu kwa miaka kama mitatu hivi japo wewe hujajipanga bado kimaisha hata kazi official hujapata still una...
Kuna ndugu yangu anataka kuchukua mkopo. Sasa anaomba ushauri je, ajiunge na SACCOSS apate mkopo au achukue mkopo BANK? Ni mkopo kama milioni 5 hivi
Please ushuari wako muhimu sana
=======
========
Kuna majibu ukipewa baada ya Kuuliza maswali flani unaweza ukahisi aliekujibu ana Utindio wa ubongo au kakuona wewe fala sanaa... Jana nilitaka Kulipa lifurushi cha startimes sasa nikawapigia kuuliza juu ya Uwepo wa channel ya Wanyama NGW na FOX.
Eti kadada kakaniambia kweli hizo channel hazipo...
Hakuna kitu kinakera kwenye Maisha kama Kijana kutumia ujuzi mdogo ulionao kwenye Jambo fulani KUTAPELIII vijana wenzako wanaotafuta pesa zao kwa jasho au pengine kupewa na familia zao..!! Kuna kijana ameweka tangazo kuwa anatoa elimu ya Kuweza kukuza 120000 kwa mwezi izae Mil 100, alafu vijana...
Nahitaji nyumba ya Kupanga Iwepo maeneo ya kimara yani kuanzia kimara mwisho kurudi maeneo ya town kwa maana ndani njia ya mwendokasi.
Iwe na vyumba viwili kimojawapo masters..maji na umeme wa kujitegemea..jiko na sebule! Kwa LAKI MBILI. kama unayo nipm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.