Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hebu tuwe serious! Hivi hawa wavuta bangi ndiyo wawe ndiyo brand ya mkoa? Hehehe! Ahaa!
3 Reactions
8 Replies
112 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
221K Replies
17M Views
Habari Wakuu! Hali ni tete. Maji ya shingo pûa kwenye Ukingo wa maji. Wanawake wengi huku mtaani wanapumulia mashine. Ingawaje wanajitutumua làkini hakuna matumaini ya kuchomoza, Kula kwa jasho...
0 Reactions
1 Replies
20 Views
Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine. Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space...
8 Reactions
69 Replies
2K Views
American-Israel Mercenary Benjamin Reuben Captured During Failed Coup-Attempt in the Congo MAY 20, 2024 American-Israeli mercenary Benjamin Reuben has been captured after a failed coup in the...
0 Reactions
2 Replies
63 Views
Mr pipa sijawahi rudia nyimbo moja Mara 5 Mimi nikipakua nyimbo nasikilizaga mara mbili ya tatu nafuta ila huu mkwaju wa hawa jamaa mpaka sasa nimei play Mara 78 Asee hii bonge moja la pini...
1 Reactions
2 Replies
59 Views
Wakuu kwema Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea...
9 Reactions
137 Replies
5K Views
Habari wadau. Leo airtel internet imenigomea kabisa. Je ni simu yangu ndio ina shida ama wengi imewakuta hiyo hali ? Cha kushangaza simu hiyo hiyo nikiweka data line ya voda. Mtandao unafanya...
2 Reactions
10 Replies
72 Views
GENTAMYCINE pole sana ila upunguze mdomo na uongo uongo, Simba msimu huu hakuwa na kikosi cha maana.
5 Reactions
80 Replies
1K Views
Hii...kwakweli ni AIBU Sana na tuna create taifa masikini na OMBA OMBA pale ambapo katika Population ya watu milioni 61 wanaolipa kodi ni ni milioni 3 tu.... Unajua hadi inatia woga hata kule...
3 Reactions
9 Replies
62 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,520
Posts
49,665,080
Back
Top Bottom