Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jf salaam. Kwa namna Moja ama nyingine naweza kukukwaza ama ukaingia kwenye Moja ya watu Hawa nitakao wataja hapa. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine napenda na kusitopenda pia. Kwahiyo kama...
4 Reactions
15 Replies
269 Views
Nabii ibrahimu aliitwa Baba wa Mataifa mengi ya wanaomcha Mungu. Mungu alimuahidi kumbariki yeye na Uzao wake. Alipata watoto wawili muhimu uzeeni kwake. Ismail alikuwa wa kwanza na wa pekee...
1 Reactions
1 Replies
8 Views
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤 Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi...
22 Reactions
55 Replies
2K Views
  • Suggestion
Utapia mloa ni changamoto kubwa sana Tanzania, na utapia mloa ni ukosefu wa virutubiaho muhimu mwilini hasa sana Protein. Utapia Mlo ni ugonjwa wa Aibu kubwa sana hivyo ni lazima tuchukue hatua...
5 Reactions
23 Replies
89 Views
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
7 Reactions
117 Replies
5K Views
Wakuu hiyapa ndo orodha yangu ya wachezaji wa kikapu bora wa mda wote kwangu Point guard Stephen curry John Stockton Shooting guard Michael Jordan Kobe Bryant Small forwards Lebron...
3 Reactions
19 Replies
650 Views
Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale, Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri. Nimekuwa...
11 Reactions
88 Replies
1K Views
Michango ya kununua gani la Lisu imewafanya wana CCM wacha Mungu waamue kutoa pesa zao kama sadaka ya kufuta dhambi iliyotendwa kwa kiumbe hiki kisicho na hatia. Wapo waumini wa kanisa moja...
2 Reactions
7 Replies
108 Views
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa...
15 Reactions
76 Replies
1K Views
Wakuu kwema Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea...
9 Reactions
125 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,460
Posts
49,663,426
Back
Top Bottom