Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
20 Reactions
740 Replies
20K Views
Wanaume wengi na vijana wengi wa humu hawana pesa ndefu wala michongo ya kueleweka kama wanawake ndo maana wanaume wa humu wamejaa makasiriko. Kila uzi wanawake, mara singo mom jamani tafuteni...
31 Reactions
285 Replies
2K Views
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha...
4 Reactions
21 Replies
294 Views
ALINIDANGANYA NI MWANAJESHI Mama Jennifer shikamoo. Mimi naitwa Lila (sio jina halisi) na kabla ya kuja Dar nilikuwa naishi kijijini kwetu mkoani Singida. Mwaka jana nilibahatika kuchumbiwa na...
0 Reactions
1 Replies
19 Views
Wanabodi Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel...
5 Reactions
65 Replies
1K Views
DR. BUSHIRI TAMIM PICHA MBELE YA DAILY NEWS YUKO KAZINI MADAKTARI WENZAKE WAKO KATIKA MGOMO Nilikuwa nimefadhaika sana kwa kukosa picha ya Daily News ikimuonyesha Dr. Tamim akiwa kazini wakati...
0 Reactions
2 Replies
66 Views
MARA NNE MFULULIZO, MARA SITA KWA MIAKA SABA 2018: Manchester City 🏆 2019: Manchester City 🏆 2020: Liverpool 🏆 2021: Manchester City 🏆 2022: Manchester City 🏆 2023: Manchester City 🏆 2024...
7 Reactions
28 Replies
687 Views
Hivi uteuzi wa hawa viongozi wa jeshi huwa unazingatia sifa gani hasa? Manake sijawahi kuona kiongozi yeyote yule wa jeshi la Tanzania mwenye uwezo wa kukabiliana, kwa mfano, na jopo la waandishi...
4 Reactions
10 Replies
264 Views
Tunaosoma kundalini tunaweza kumuelewa kuwa trik za dunia zipo nyingi kuhusu dini.
9 Reactions
88 Replies
2K Views
Umri umeenda, upara umeanza kuninyemelea, naamini ni jambo la kawaida, sasa leo nimekutana na jamaa tulisoma nae, alikuwa na vijiakili vya darasani sasa amekuwa daktari wa binadamu. Baada ya...
7 Reactions
12 Replies
232 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,307
Posts
49,657,875
Back
Top Bottom