nashukuru sana maelezo yako yanaonyesha dhahiri shahiri unaelewa kinagaubaga mambo ya kidemokrasia, mimefurahi sana.....
hayo mawaidha nayo si mabaya, na yanafahamika bayana kwamba nafasi hizi ni za wanainchi, na kinachofanyika ni kuskiza wanainchi na kufanyia kazi maoni yao, sio kuskiza...
huo si uzi kamili kabisa kamanda? udevelope tu kidogo uwe na mantik then tafuta platfom tujadili...
back to the main motion on the table,
bonestly,
ni yupi mwanasiasa mwenye ushawishi kumzidi mwingine pale chadema kwa mfano?
tena unakuta anae omba achangiwe ana afya njema, akili timamu, ana uwezo na nguvu kabisa za kufanya kazi....
mi nadhani,
msingi wake ni malezi, mazoea na tabia mbaya wanazo endekeza baadhi ya wana siasa na hao wa huko kwa maombezi ambao ni wa binafsi sana na wanajiona wao ni special than...
zoezi linakwenda kwa utaratibu kamanda, sio kwa kukurupuka wala muujiza, ni halisi kabisa, litafanyika mchana kweupe bila chenga na punde litaanza rasmi maeneo yote nchini :BASED:
kama wewe umeona sio sawa umeskizwa, lakini wale wengine hususan wabunge waliyo wengi wameona ni sawa.
si ndio demokrasia hiyo, au kwa vile umeona wewe si sawa na wengine nao waone kama wewe, right?
huo ni upotofu,
taasisi hizi ni za umma, na si mali ya mtu binafsi au watu fulani pekee. ....
ni mali huru za waTabzania wote na zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na katiba ya waTanzania :spandauB:
maoni yako ni yako, ni maoni yako mwenyewe tu, na ni haki yako ya msingi, lazima yaheshimiwe sana, lakini hayawezi kuzuia au kubadili ukweli kwamba bunge la Tanzania linatekeleza wajubu wake muhimu saba, kazi zake nzito sana, na majukumu nyeti sana kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.