niwe hivyo mara ngapi sasa ๐
taarifa ya serikali ni sahihi,
wasio lipa kodi ni wengi ukilinganisha na wanao lipa kodi. Na hii ni kutokana na aidha uelewa mdogo juu ya masuala ya kodi, kukwepa kulipa kodi kwa kujua au kutokujua, kutokufahamu jinsi ya kulipa kodi, na sababu nyingine zinazofanana...
Yes,
ni dhahiri hata joto la kisiasa limeongezeka ukali kidogo, wageni vya wenyeji na wageni ambao nao wanadai ni wakaaji wa huku vijijini ni wengi sana, na kwakweli kumechangamka haswaa, na kidogo hata wanaichi wanapata kakitu kidogo ๐
political scientist anakuvuruga sana eee ๐
a man in a mission kwa taratibu na kwa upole utamuelewa but kwa pupa au force,
u can't ,
politically speaking ๐
unaelewa CDM wanapata uchungu na kuumia zaidi pale ambapo, mikutano imeruhisiwa ,Rais anasifiwa dunia nzima kwa kuimarisha na kuchochea demokrasia nchini, halafu CDM ukata wa fedha na nyenzo za kuwawezesha kufanya mikutano ya hadhara ndio imewatembelea in full capacity na kutia kambi kabisaa...
huyu anafahamika ni chuma cha mkono wa mwamba wa kaskazini ambae inafahamika bayana hata mtoa hoja unamkubali kiana huyo mwamba au sio ๐
hapo tunaenda kukamilisha ratiba tu kama Yanga Africa NBC Premier league ๐
mambo ya kishirikina staki kabisaa bora hawa wanainchi ambao wananipenda sana na mimi nawafanyia kazi yao ya maendeleo vizur na kwa bidii sana, waniambe sasa mh.tafuta kazi ingine ๐
hata hiyo,
Mungu ni mwema sana kati yangu na wanainchi, daima tunaambatana na kuandamana pamoja katika kila hatua...
kufanya kazi kwa stress, ama kufanya kazi bila stress au kutokufanya kazi kabisaa ni uamuzi binafsi wa mtu, kulingana na alivyopiama manufaa na hasara ya atakachoaamua kukifanya. Hakuna haja ya ushauri, life forces na life realities zitakusukuma tu uamue mwenyewe ๐
Muhimu ni kuondoa hofu na...
watumishi wachapakazi hodari nchi nzima, wameafiki kikokotoo hiki kwa mujibu wa Sheria. Na ndio maana wako na bidii na ari zaidi ya kufanya kazi ya umma na kuwatumikia wanainchi ๐
hata jimboni pangu wapo wastaafu wanainjoy sana kiinua mgongo chao baada ya kustaafu majuzi kwa kikokotoo hiki hiki...
kama makamanda wa CDM huwa wanacontrol mihemko yako kwenye kuporomosha matusi ya nguvu tu, baada ya kukurupushwa kwa hoja nzito nzito kutoka kwa vijana makini sana wa kazi wa CCM ๐
hapana kuzuia mtu kufanya kazi ya kutetea au kupinga jambo fulani, hiyo ni haki na Uhuru wa kila mTanzania ๐
ile ya maana zaidi ni kuona kwamba unaona kabisaa, kitu kinakupa stress lakini unakomaa na kung'ang'ana nacho kama huna utimamu wa akili vile, na matokeo yake wengine mpaka wanaishia...
sasa kama una akili timamu si utumie hiyo akili timamu yako kufanya kazi nzuri ikupendezayo , unang'ang'ana na hiyo kazi ambayo mwishowe kuna ya kikokotoo kwa nini sasa. ....
ni useless kabisaa, uvivu na uwoga tu wa maisha ๐
unababaika na kufedheheshwa kikokotoo kwanini sasa? Unaanza kazi na...
relax and be free to call me whenever names or rubbish, but I must tell the truth to the public ....
na unajua kweli ni chungu, ikikuzidi ndio hivyo tena lazima uteme nyongo na kuyaporomosha kwa mpangilio kama ambavyo umeanza kwa kishindo ๐
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.