Recent content by TikTok2020

  1. T

    Peter Msechu kupewa nafasi ya kutumbuiza Zanzibar?

    Hata ubatizo ni Ibada lakini kuna sherehe
  2. T

    Peter Msechu kupewa nafasi ya kutumbuiza Zanzibar?

    Tutosheherekea inasaidia nini?????
  3. T

    Ubabe wowote ule kuhusu suala la NHIF utazidisha mgogoro

    Ukweli mtupu serikali isilete ubabe kwenye suala la msingi la afya
  4. T

    Mwinyi ndiye Rais bora kuwahi kutokea katika Taifa hili, anaondoka wala hatuna kinyongo nae

    Una uhakika gani?mateso wanayopitia wamasai Ngorongoro utadhani hawana kinyongo nae?
  5. T

    Je, utamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa mambo gani?

    Ni Mtazami wako tu mtoa hukumu ni Mungu acheni porojo
  6. T

    Baadhi ya hospitali binafsi zilizotangaza kutotoa huduma kwa wateja wa NHIF kuanzia 1/3/2024

    HAKIKA ....kila kitu kiko ICU Umeme,Maji,Dola,Mafuta,Vitunguu,Mfumuko wa bei
  7. T

    Baadhi ya hospitali binafsi zilizotangaza kutotoa huduma kwa wateja wa NHIF kuanzia 1/3/2024

    Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
  8. T

    Je, utamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa mambo gani?

    Asante mtoa post maana waja walianza kumwagia sifa tu bila kueleza aliyokosea pia akiwa kiongozi wa ngazi ya juu
  9. T

    Peter Msechu kupewa nafasi ya kutumbuiza Zanzibar?

    Kina nani wana ujinga ujinga?????binadamu bwana hivi hàmjui hata mtu akifa inabidi kusheherekea kama sherehe nyingine za kuzaliwa na kuoa au kuolewa. Unaposema ujinga ujinga unamanisha nini?????
  10. T

    Rais Samia: Hatutazuia Maandamano na Mikutano ya Hadhara

    Hii ni dharau kubwa sana kwa Chadema yani maandamano yameruhusiwa lakini yamejaa dharau kwamba andamaneni lakini hatubadilishi chochote yaleyale utaongea mchana we usiku utanyamanza na kulala😁😁😁😁 Chadema mmechambwa in a way...poleni sana
Back
Top Bottom