Wakuu, unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana, halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya.
Hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea.
Wakuu..Hawa jamaa wa mkopo fasta wananidai balaa...kwa namna wanavonidai ningekuwa na hela ningewapa nimalizane nao waache kunitumia jumbe za vitisho na simu,..imefikia wakati wanataka kuwatumia ujumbe watu wangu wote wa kwenye phenebook yangu..walinipa 15000 saivi wananidai 21000.
Nimejaribu...
Napenda kufichua shimo ninalo lifahamu kwa takribani miezi miwili sasa, nikiwa na lengo la kuwapa taarifa wahusika wa kurekebisha miundombinu...pili kwa watumiaji wa vyombo vya moto.
Kuna shimo lipo nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii Sinza...ukiwa unatokea Makumbusho unaelekea Mwenge Kuna...
Umenikumbasha mbali Sana...wakati tunasoma nikiwa kidato Cha nne,nakumbuka Kuna Binti alikuwa msomali..yule manzi alikuwa ni pisi haswa..sasa sikujua ilikuwaje siku Ile ...tulikuwa tumetoka likizo Sasa Ile wanafunzi tumekutana shule zishafunguliwa...bhasi Ile tumeonana tu alikuja spidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.