Recent content by Mikopo Consultant

  1. Mikopo Consultant

    Pre GE2025 Mama Samia amegundua kosa kubwa chaguzi za 2024

    Upo sahihi sana, blunder kubwa waliyofanya CCM ni ulafi wao wa kuiba uchaguzi wa serikali za mitaa 2024
  2. Mikopo Consultant

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Sio kweli mkuu, ni uzembe tu wa watu mda mwingine kutokujua English. Kuna watu wengi tu wanagonga ngeli na wamesoma Kayumba
  3. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Hiyo ya kuzikwa hapo hapo hapana aisee, hoja yangu imejikita kwenye speed tu
  4. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Tatizo nimeathiriwa na risk management, so ni muhimu kujipanga kwa lolote
  5. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Sema hii inabidi uwe na imani fulani kabla, kwamba mwili ni kama boksi tu la mbao
  6. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Nimejiuliza hivo hivo, saa nyingine nahisi huwa ni story sema huwez kuzipinga...
  7. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Hiyo hapana mkuu, yaani kinachobadilika ni speed tu, other factors remain constant
  8. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Hahahaha au sio mkuu wangu, hamna wanizike tu kwa jeneza ila iwe chap chap kijeshi
  9. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Namaanisha ile speed tu lakini kwenye kuandaa mwili itakuwa tu kawaida
  10. Mikopo Consultant

    Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

    Kuna siasa nyingi sana kwenye hicho kinachoitwa matayarisho ya kuzika. Ndo maana mimi sitachelewesha hili tukio, nahisi huko mbeleni nitagombana sana na watu kwenye hili
Back
Top Bottom