Hello wadau,
Baada ya kujaribu kuboresha huduma zetu na ku introduce mfumo mpya wa mauzo, wateja wamepungua maradufu, jambo linalohatarisha uhai wa biashara yetu.
Nimeelezea kwa kuonyesha mfumo wetu wa zamani na mpya na plan niliyonayo kuihuisha biashara yangu katika video hapa chini.
Naomba...
Hello ndugu.
Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara.
Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo.
Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi.
Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.