Search results

  1. Dr. Said

    Msaada jinsi ya kutangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii

    Unafanya biashara gani na unataka kutangaza nini?
  2. Dr. Said

    Biashara Yangu Inataka Kufilisika

    Hello wadau, Baada ya kujaribu kuboresha huduma zetu na ku introduce mfumo mpya wa mauzo, wateja wamepungua maradufu, jambo linalohatarisha uhai wa biashara yetu. Nimeelezea kwa kuonyesha mfumo wetu wa zamani na mpya na plan niliyonayo kuihuisha biashara yangu katika video hapa chini. Naomba...
  3. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Na sababu yako ya kusema hivyo ni...
  4. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Your welcome. Mr. Joel yupo vizuri sana.
  5. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Karibu sana. Unaweza ku connect na community yetu hapa: Wazo Fasta
  6. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Ndugu yangu. Usitutie aibu hadharani
  7. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Ungesoma makala kwanza ndugu. Sio kila kitu forex.
  8. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Inaonekana hujasoma hadi mwisho. Soma tena.
  9. Dr. Said

    Ni biashara gani inaweza ingiza atleast faida ya TZS 5M kama nikiwekeza TZS 30M?

    Hello ndugu. Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara. Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo. Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi. Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
  10. Dr. Said

    Jinsi ya kupata wateja mtandaoni

    Pitia thread yangu hii itakusaidai: Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja
  11. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Nikikwambia kuwa unaweza kumiliki mashine yenye uwezo wa kukuletea wateja kwenye biashara yako utaniamini? Wateja wenye pesa mkononi tayari kununua bidhaa/huduma unazotoa? Wengi nikiwaambia hili jambo nyuso zao zinakunjika kwa mshangao na kuona kama jambo lisilowezekana kabisa. Wakati...
  12. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Amin. Kweli deni inawamaliza watu.
  13. Dr. Said

    Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

    Hello ndugu. Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara. Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo. Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi. Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
  14. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    I'm glad umefaidika. I really appreciate it.
  15. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Asante. Nashukuru kwa kuwa consistent. Ila itakuwa vizuri uka screen shot mahojiano yote ya wanafunzi wangu. Kuhusu ku upsell yes off course nina upsell. Tangu lini ku upsell imekuwa utapeli? Ulitaka nifanyaje sasa?
Back
Top Bottom