Recent content by BLACK MOVEMENT

  1. BLACK MOVEMENT

    Waliohusika ufisadi report ya CAG mwaka huu walisha ombewa msamaha kwa Raisi hivyo wako huru

    Hii nimepenyezewa jioni hii, na mdau wangu wa muhimu sana. Wahusika wote waiotajwa kwenye report ya CAG mwaka huu wamesamehewa na Mh Raisi hii ni baada ya kamati ya kuwaombea msamaha kuwa na jukumu zito sana la kuwahoji kabla ya kumuomba Raisi awasamehe na awape onyo kali sana. Kamati...
  2. BLACK MOVEMENT

    Kama hujawahi kukutana na usumbufu, dharau na jeuri za watumishi wa serikali, utaendelea kutoona anachofanya Makonda

    Kwa hio Dharau zitamalizwa na Makonda? Vipi akihama Arusha?
  3. BLACK MOVEMENT

    Rais Samia adhibiti Upigaji wa Pesa la sivyo hizo anazotafuta nje hazitakuwa na maana

    Kadri Raisi Samia anavyo fanya dhiara nje kutafuta pesa zinazo itwa za maendeleo ndio kadri wahuni wanavyo jipigia pesa za Umma. Kasi ya upigaji ni kubwa kuliko ya kutafuta pesa huko nje na inaonekana Raisi hajali kabisa hilo, yeye upigaji sio jambo linalo muumiza kichwa wala kumkosesha...
  4. BLACK MOVEMENT

    Mfungaji Bora Apewe Fei Toto Salumu( FTS)

    Hii inahusiana vipi na maada? huna hoja?
  5. BLACK MOVEMENT

    Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

    Ni kwelu alikuwa Babtsit, ila ni yeye na Mme wake na jamaa mmoja ndio waliasisis SDA mwaka 1860 na mwakan 1863 kama sikosei ikaanza rasimi. Eleni alivutiwa na baadhi ya mafundisho ya William Millwe, huyu Millwe ndio alikuwa tapeli na kile tukio lake la Great Disapointment
  6. BLACK MOVEMENT

    Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

    SDA church imeanzishwa mwaka 1860 kama sikosei. Pia unachanganya tabiri za William Miller na Elen G White
  7. BLACK MOVEMENT

    Watendaji wapigaji na wezi wa Mali za Umma ni kioo cha aliyewateua

    Duniani kokote kule haijawahi tokea kiongozi wa nchi awe msafi kama Pamba then akubali kufanya kazi na Panya. Hiawezekani kamwe. Watendaji wapigaji wanawakilisha kisawasawa tabia ya alie wateua. Historia ya Raisi San Abach inaonyesha kwamba hata watendaji wake walikuwa ni wapigaji vibaya mno...
Back
Top Bottom