Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Imethibitika sasa Hilda Newton yuko Central Polisi, msamalia mwema aliyemuona muda mchache uliopita anasema amepigwa sana na wanataka kumshtaki kwa Makosa ya Mtandao. Soma Pia: Sintofahamu...
8 Reactions
69 Replies
2K Views
Huu unyama unatisha sana CHADEMA msikae kimya Chadema kusanyeni video zote mnayoteswa na Police, zipelekeni Human Rights Watch na Amnesty International ili dunia ijue
13 Reactions
36 Replies
502 Views
John Heche (Makamu Mwenyekiti Tanganyika wa CHADEMA) katika hotuba zake kwenye mikutano ya kampeni za NO REFORMS NO ELECTION 2025, mara kwa mara ametumia maneno haya, kwamba, dola la Tanzania kwa...
19 Reactions
44 Replies
1K Views
Mjumbe wa Baraza Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Hilda Newton ameachiwa kwa dhamana katika kituo cha polisi cha Kati (Central Police station, Dar Es Salaam). Soma Pia: CHADEMA...
15 Reactions
29 Replies
1K Views
https://youtu.be/3YNAwQvYwDc?si=bvNLXenQyEbko2Lf Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA wanazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya ahbari leo Aprili 25, 2025 saa saba mchana...
1 Reactions
9 Replies
78 Views
Moja ya sifa kuu ya Majaji Wakuu Watatu (Wazawa) wa Kwanza wa Mahakama ya Tanzania yaani Jaji Francis Nyalali, Jaji Bararbas Samata na Jaji Augustino Ramadhani ni kwamba, pamoja na kuiheshimu sana...
22 Reactions
72 Replies
2K Views
Ni bora sisi raia wema tukajikita katika kusikiliza vyema hotuba na baadaye tukashauri. Sio vyema kutoa mwitikio mbaya kwenye mitandao ya kijamii. Hapa ni maoni ya watu kwenye mtandao wa...
2 Reactions
14 Replies
456 Views
Makamu mwenyeki CHADEMA Bara Heche, ataongea na Wanahabari leo. Pia ataelezeza kinagaubaga kilichotokea na kinachoendea na kitakachoendelea. Nitakuwepo mbele kabisa...
17 Reactions
61 Replies
2K Views
Nikiwa kama kada mtiifu na muaminifu kwa JMT, nasema acheni kumsimanga na kumshushia lawama Mh. Rais kuwa anatumia madaraka vibaya. Vipi wewe kwa upande wako, endapo ungepata nafasi ya kuwa...
0 Reactions
7 Replies
83 Views
Naona RC chalamila alicho kuwa anatamani kitokee kimetokea na amefurahi kabisa. Anafurahia kuona watanzania wasio na hatia wala silaha wanakamatwa, wanateswa , wanavunjwa miguu na kutupwa porini...
1 Reactions
6 Replies
249 Views
Hii ni aibu! Hii ni fedheha kwa jeshi letu la polisi! Hii imevunja rekodi ya dunia kwa polisi kuwakamata "wahalifu" na kuwatupa porini badala ya kuwaweka mahabusu! Eti polisi wa Tanzania wanatupa...
29 Reactions
70 Replies
1K Views
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM.
3 Reactions
48 Replies
573 Views
Leo sitaki kuzungumzia issue ya muungano na impacts zake. Nataka kwa ufupi kabisa nitoe kaushahidi kadogo kuwaambia Watanzania a.k.a Watanganyika kuwa viongozi wao wapo kwa ajili ya matumbo yao na...
0 Reactions
3 Replies
137 Views
Hivi Tatizo letu ni Chadema Kweli? Wana CCM wenzangu naomba tujiulize, hivi wanaotusumbua ni Chadema kweli au ni Wananchi? Waliotukataa ni Chadema au ni Wananchi? Chadema ni nani Hawa? Wako...
2 Reactions
2 Replies
85 Views
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika...
11 Reactions
59 Replies
1K Views
Wakuu Upendo Kileo, mwanachama na mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), alifika jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...
17 Reactions
132 Replies
3K Views
Kesho ni Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Muungano usioeleweka! Kuna mambo mengi yasioeleweka kwenye Muungano huu! Kwa uchache tu; Umewahi kuona Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano...
7 Reactions
36 Replies
682 Views
We chunguza tu makamanda wote wa Chadema wako live hapa Jf kuanzia Juzi hadi sasa hivi Wote akina Tindo, Mshana jr, Retired, Erthrocyte nk wapo hapa hawajapigwa kirungu hata kimoja Hii...
6 Reactions
24 Replies
292 Views
Baadhi ya watu au Kundi kubwa la watu ndani ya tawala wa raisi Samia Suluhu Hassan wameamua kwa azimio moja chini ya uangalizi wa chama cha Mapinduzi CCM kuwadhuru, kuwaua, kuwatesa na hata...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Japo mazishi yanaangukia sikukuu ya Muungano tafadhali tusikose mwakilishi huko Vatican kwenye mazishi ya Mzee wetu Baba Mtakatifu Francis. Mheshimiwa Majaliwa na Mstaafu wanatosha.
1 Reactions
17 Replies
447 Views
Back
Top Bottom