Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

CAF champions league ndo kilele Cha Mpira wa Vilabu Barani Africa :- Au kwa Watasha unasema CAF champions league is the Pinnacle of Club football in AFRICA :- Ni kama shule tu.Mnaweza kuanza...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Klabu ya Jskabylie ya nchini Algelia imekamilisha uwanja wake wenye uwezo wa kuheba watazamaji 50,766 ujenzi uwo umechukua takriban miaka 10.
15 Reactions
45 Replies
3K Views
Wananchi na viongozi wao wa Wilaya ya Nyasa wameamua kushirikiana kwa pamoja ili kuhakikisha ujenzi wa uwanja huo wa Michezo unakamilika kwa wakati. Ukanda wa ziwa Nyasa umebarikiwa kuwa na...
0 Reactions
1 Replies
601 Views
Naaaam, baada yakumaliza ubishi Kati ya Kennedy musonda na Jean claud van Damme wa kongo yaani baleke. Sasa tutizamie Nani fundi wa mpira Kati ya Sawadogo na Mudathiri pale dimba la Kati? Simba...
1 Reactions
5 Replies
592 Views
"Yanga ndio tegemeo pekee la Tanzania kimataifa, Watanzania wana imani na Yanga inaweza kuleta Kombe la CAF msimu huu, sio timu inashiriki kimataifa ikifaka Robo ishachukua Ubingwa, tutoke huko...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Utashangaa vitimu vidogo vinavyokamia timu kubwa.Huwa inafika wakati kukamia kwao kunajibu. Naifananisha hii timu na vitimu vidogo jinsi vinavyokamia mechi. Ndivyo hata inavyoonekana nchi...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwa wale ambao ni watazamaji wa mchezo wa mpira wa miguu wanajua kuna vitu vidogo sana ambavyo vinaweza kubadilisha mwelekeo wa mchezo na kubadili na matokeo moja kwa moja Kitu ambacho kimebadili...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Always soka la wanawake Huwa linatutoa kimasomaso sana.. Hongera sana Fountain Gate
8 Reactions
15 Replies
1K Views
MOROGORO: Kocha na mchezaji wa zamani wa Pamba SC, Simba SC na Taifa Stars, Amri Ibrahim amekutwa amefariki jioni ya jana Jumamosi Aprili 08, 2023 baada ya majirani kuona hajatoka nje kwa muda...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Salam Wana jf Katika harakati za Uchambuzi wangu Leo nilikuwa naangalia baadhi ya mechi za kimataifa walizocheza Yanga vs mechi za kimataifa walizocheza wydadi Casablanca Nimegundua yafuatayo...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda...
18 Reactions
125 Replies
8K Views
Champion League ndio kilele cha mafanikio ya mpira. Asante mzee wa jambia kwa kuweka kumbukumbu klia. Tuendelee na pasaka
1 Reactions
14 Replies
890 Views
Ifuatayo ni List ya Wachezaji ambao awali waliingiza Fedha Nyingi sana Kupitia Mpira wa Miguu lakini Baadae walifilisika. 1.Ronaldinho. Mwaka 2020 Alikamatwa na Polisi kwa kosa la kuwa na...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndiyoooo, sina muda wa kutoa salamu maana nitakua napoteza muda tu, twende moja kwa moja kwenye point kuu. Hakika NALIA NGWENA toka nianze kushuhudia mpira sijawahi kushuhudia robo fainali mbovu...
10 Reactions
111 Replies
7K Views
Karibu tena upate burudani ya soka tamu kutoka kwa Wananchi.. Ni robo fainali ya Azam federation cup baina ya Machampioni watetezi Yanga dhidi ya Geita Gold kutoka mkoani Geita. Mchezo huu...
6 Reactions
209 Replies
12K Views
Wanamichezo wenzangu wana-jf, Nimejiuliza hili swali ila bado sijapata jibu kwamba nini kinapelekea Mazembe kupitia wanayopitia siku hizi? Nimekosa majibu hebu nijibieni, maana wamenishangaza sana?!
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Habarini Wananchi wote wa JF..! Bila kupoteza muda naomba nisiwachoshe tusichoshane..Ukweli huwa ni mchungu sana..hii imewafanya watanzania wengi wanapenda uongo wenye kufariji kuliko ukweli...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Hichi ndicho kinachoikuta Simba hii ndiyo mechi yake ya MWISHO kuwa na furaha. Tunzeni haya maneno nipo nimekaa paleeee mje mniuwe kama itakuwa uwongo tutakutana hapa hapa kwenye page hii.
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Hivi kweli Yanga ndiyo timu ya kupata kagoli 1 tena baada ya wapinzani kupungua. Wakati hadi confederation CAF wanaijua. Alafu kocha Nabi hatumuoni kaenda wapi na kuiacha timu ikiwa taabani hivi...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom