Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Kitendo cha Mungu kumtupa Ibilisi duniani ni kitendo cha uonevu mkubwa sana kwa binadamu. Ibilisi sio levo za binadamu ni levo ya Mungu maana yake Mungu yeye angekomaa naye Ibilisi hukohuko...
80 Reactions
264 Replies
20K Views
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha...
18 Reactions
677 Replies
115K Views
Iko hivi ktk maswala ya kivita sio ukubwa wa nchi au wingi wa watu ulio nao ila niuwezo wa kivita pamoja na ujasusi. Ktk kile kilicho onekana sio kitu cha kawaida Israel walishambulia sehem ya...
14 Reactions
43 Replies
4K Views
Niende kwenye hoja. Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books". Ingawa Bible...
8 Reactions
70 Replies
10K Views
AJALI YA MV BUKOBA ILIUA WATU NA MTU. Mungu awarehemu wote waliopoteza maisha katika ajali ya meli ya MV BUKOBA, tarehe kama ya leo, miaka 22 iliyopita. Umbali wa maili kama 30, sawa na kilometa...
44 Reactions
95 Replies
24K Views
KUNDALINI "Ni Mfumo wa Mazoezi ya Asili na ya kiroho, mazoezi haya hujumuika kama njia ya kuongeza nishati iitwayo KUNDALINI Wakati wa kufanya mazoezi haya unahitajika kufuata Mlolongo mkali...
1 Reactions
1 Replies
104 Views
Utulivu wa nafsi ni mafanikio. Nitoe angalizo tuu kuwa Hii mada sio kwa ajili ya kila mtu ni kwaajili ya watu wachache sana ndio wataelewa. Kwa mujibu wa tafiti za kiroho inathibitishwa kuwa...
31 Reactions
216 Replies
27K Views
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi...
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole. Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti,"...
12 Reactions
152 Replies
5K Views
Mimi naamini zaidi utakavyo mjua Mungu ndio zaidi utakavyo ujua ukweli na kuwa huru zaidi. Lakini tulichofanya nikujua dini zaidi ya Mungu. Kwa kuwa mashirika haya ya dini yanataka uzame ndani...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Leo nimekaa nimetafakari sana bila kupata jibu, Samahani kwa Tafakuri yangu kama nitaudhi imani za watu wengine basi naombeni mnisamehe sana. "Waungwana mbona Wazungu wao wanahistoria nzuri sana...
6 Reactions
27 Replies
792 Views
Wakuu poleni na mishuhuliko yenu! Hivi wakuu hua viongozi wetu wa dini hua wanatufundishaga kuwa mbinguni hukohakuna kazi bali ukifa ukaenda huko kazi iliopo ni kukesha kwa kuimba! hivi ni kweli...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Hili somo linawahusu zaidi wale wanao pitia changamoto zakua na kumbu kumbu ya ndoto wanazo ota usiku. Namna ya kukumbuka ndoto. Je unaota ndoto na unasahau?. Fanya meditation ya Namba. Watu...
2 Reactions
5 Replies
457 Views
Conspiracy theorists believe there's an elite group of powerful peoples who controls the world. Illuminati People are freethinkers, with Enlightenment, and intelligent. Do we have these Illuminati...
5 Reactions
135 Replies
43K Views
Naomba kujua utofauti na uhusiano wa Mwili, Nafsi na Roho. Vipo wapi na vinatendaje kazi katika mwili wa mwanadamu. Nawasilisha.
7 Reactions
84 Replies
4K Views
Wanabodi, Huu ni muendelezo makala zangu kuhusu "works of powers", nguvu za kutenda miujiza, "psychic powers!", leo nitajikita zaidi katika nguvu za uponaji "faith healing!". Nitakuwa na maeneo...
17 Reactions
126 Replies
87K Views
This one is for the people. Adui anatawala watu wanadamu bila wao kufahamu. Ni Siri kubwa iliyofichwa katika namba. Toka binadamu anazaliwa huwa kuna namba maalumu ambazo initiates yoyote ambaye...
15 Reactions
60 Replies
6K Views
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana. Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa...
108 Reactions
2K Replies
42K Views
nilisoma hii ishu kwenye kitabu The dark side of Nyerere cha Ludovick Kaijage. baadhi ya sehemu anasema. walivyokutana. hapa akamuibia documents. Hapa anakuta vitu vyake kwenye mikono salama.
5 Reactions
67 Replies
15K Views
KISWAHILI ni wazugaji na wafichua habari Ni watu maalum lakini wa kila jinsia umri na kaliba... Kati yao wapo mpaka wezi matapeli, wakabaji na wachawi.. Lakini kila walipo wapo kwa lengo...
142 Reactions
786 Replies
149K Views
Back
Top Bottom