Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi. Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu? Kwakweli...
12 Reactions
88 Replies
3K Views
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa Msanii Grace...
12 Reactions
161 Replies
8K Views
Hi guys! Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi...
20 Reactions
654 Replies
196K Views
Mmh!! Mpaka sasa hivi Majizzo bado hajatoa birthday wishes kwa aliyekuwa my love wake, Lulu Michael. Sio kawaida aiseh, leo tungeona mbwembwe za kila aina, ila nimepitia kwenye page ya Majizzo...
2 Reactions
26 Replies
10K Views
Maceleb walitaka kuuza magazeti tu haikuwa kuachana kule.
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Akili za hawa machawa kuanzia Manara, Baba Levo , Mwijaku wana IQ ndogo sana.
1 Reactions
7 Replies
331 Views
  • Redirect
Muigizaji Johari Chagula ameshea nasi vigezo vya mwanaume anayetaka kufunga nae ndoa sababu ni jambo ambalo amekua analiomba kwa muda mrefu.
1 Reactions
Replies
Views
Kwa yaliyotrend ni doa sana kwa alichokiendea hija ni ibada kila muumini utamani kabla hajaondoka duniani angalau aipate nafasi hio. Kupata kashfa kubwa kama ile si jambo la kusudio la kwenda...
4 Reactions
51 Replies
1K Views
Mpaka hivi muda huu pasaka inaishia ingekuwa Nchi zinazojielewa kama ulaya na USA mwijaku sahivi angejitokeza kuomba radhi na deals zote za makampuni zingevunja mikataba nae. Lakini kwakuwa tupo...
14 Reactions
62 Replies
3K Views
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa. Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu...
21 Reactions
195 Replies
13K Views
Katika kitu ambacho Irene Uwoya anakijutia na ataendelea kukijutia katika maisha yake ni kukubali kumvulia kufuli dogo janja, wengi sana tulimuonya tangu awali lakini alijifanya kuziba masikio na...
1 Reactions
95 Replies
68K Views
Kabla hajaukwaa Ukuu wa Wilaya, moja ya habari kubwa zaidi kumuhusu Jokate Mwengelo ambayo iliwahi kutikisa bara zima la Afrika, ni pale ambapo jarida bora zaidi ulimwenguni la Forbes lilipomtaja...
39 Reactions
176 Replies
27K Views
NB: Maada hii ipo kwa kutoa elimu ya kifedha, ndoa imetumika kama tukio maarufu la kutoa elimu, Jux na mke wake wawe na ndoa njema, Kibunda chenye noti 500 huku kwetu ukijaza misimbazi kina...
6 Reactions
91 Replies
3K Views
Mimi sio hansome,sina hela,sina six pax,sina umaarufu wowote ila tangu january mpaka sasa nimeshatindua mabinti zaidi ya 19,na mwaka bada mbichi kabisa Siku ya msiba wangu nitatia aibu sana kwa...
8 Reactions
24 Replies
797 Views
Video Hongera zake kijana.
8 Reactions
108 Replies
34K Views
I. Hapa TANZANIA (Tanganyika na Zanzibar) tunao kwa MAELFU ya watu wenye tabia mbovu PENGINE KUMZIDI p.didy (za kuwadhulumu watu wengine kingono). II. Wengi wa waathirika huishia kunyamaza kimya...
16 Reactions
67 Replies
4K Views
Ee bhana eeh huu mwaka umeanza na mbio sana. Huu mwaka utaisha haraka maana si kwa raha hizi!! Ukiangalia mbele raha nyuma raha pembeni raha!! Ni raha juu ya raha!! Baada ya jux kufunga ndoa, na...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Celebrity Mwijaku ametoa zawadi ya Eid kwa kulipia Kodi za nyumba jamii Maskini 1000 kwa miezi 12
2 Reactions
30 Replies
847 Views
Imenishangaza kuona ule ugomvi wa mganga maarufu wa miaka hiyo nani hakumfahamu Dr Manyaunyau? Akipigwa na mganga mwenzie mabanzi ya kutosha huku akitishiwa kubutuliwa na risasi pia wakiwa msibani...
5 Reactions
19 Replies
759 Views
Back
Top Bottom