george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,279
- 1,942
Wanaume tukikutana sehemu halafu hatujuani majina yetu halisi
1. Mwamba
2. Chief
3. Jombaa
4. Mtaalam
5. Kiongozi
6. Blood
7. Kijana
8. Jeshi
9. Captan
10. Babu
11. Dingii
Mwanaume halisi ana koromelo , sio mtu wa maneno maneno
Ukikutana na mwanaume mwenye maneno kama demu kimbia huyo , sio kidume
1. Mwamba
2. Chief
3. Jombaa
4. Mtaalam
5. Kiongozi
6. Blood
7. Kijana
8. Jeshi
9. Captan
10. Babu
11. Dingii
Mwanaume halisi ana koromelo , sio mtu wa maneno maneno
Ukikutana na mwanaume mwenye maneno kama demu kimbia huyo , sio kidume