Upi ushauri au maoni yako kwa anayekusudia kugombea nafasi yoyote nchini?

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,199
4,121
Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu?

Unamshauri nini azingatie na nini asijekirudia ambacho ulikiona kwa wagombea wengine kwenye chaguzi za nyuma?

Mwaka huu wa 2024 tutakwenda kuwa na zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwaka ujao wa 2025 kutakuwa na uchaguzi wa Serilaki kuu, hili ni zoezi muhimu sana katika kufanya maamuzi ambayo yanaweza kugeuza dira ya Tanzania tuliyonayo sasa na kuwa vile tunavyoitamani.

Hivyo kila mmoja ana wajibu wa kushiriki kuchagua kiongozi na kutoa maono ya aina gani ya viongozi anaowataka na pia viongozi asiwaowataka na tabia ambazo inabidi wawe nazo.

Je, unashauri nini kwa mtu anayetaka kugombea, aweje, afanye kitu gani na kitu gani asifanye ili kuipeleka Tanzania kule tunapotaka ifike?
 
Nafasi yoyote kwake iko wazi ila tu asiiguse seksheni ya urais wa JMT kwa vile tayari ina mwenyewe. Ni hayo tu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu?

Unamshauri nini azingatie na nini asijekirudia ambacho ulikiona kwa wagombea wengine kwenye chaguzi za nyuma?

Mwaka huu wa 2024 tutakwenda kuwa na zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwaka ujao wa 2025 kutakuwa na uchaguzi wa Serilaki kuu, hili ni zoezi muhimu sana katika kufanya maamuzi ambayo yanaweza kugeuza dira ya Tanzania tuliyonayo sasa na kuwa vile tunavyoitamani.

Hivyo kila mmoja ana wajibu wa kushiriki kuchagua kiongozi na kutoa maono ya aina gani ya viongozi anaowataka na pia viongozi asiwaowataka na tabia ambazo inabidi wawe nazo.

Je, unashauri nini kwa mtu anayetaka kugombea, aweje, afanye kitu gani na kitu gani asifanye ili kuipeleka Tanzania kule tunapotaka ifike?



Nahitaji kufanya kazi na MTU anayegombea ubunge 2025 kwa chama chenye nguvu .

Mkakati ambao tutautumia utakuwa ni ule wa kushinda Dk za mwanzo na kushambulia Sana.

Mambo ya msingi ya kumshauri mgombea yeyote ni haya hapa.

Ajikite katika makundi ambayo huwa hayapigi kura kwanza ambao huwa ni vijana , kundi hili huitwa 'Undecided '

Ukijikita katika kuwapata undecided -hili ni kundi kubwa ambalo linakuwa halijafanya maamuzi ya kuchagua Kiongozi hivyo ukilipata hili kundi ushindi ni mapema Sana.


njia za kutumia ili kulifikia hili kundi

@ kuhakikisha unafikika , usijikite kukosoa uongozi uliopo Ila jikite kuonesha kuwa utarekebisha wapi

@ ongelea interest za watu kuzidi hata miondombinu n.k mfano waweza kuanzisha programs ya kutoa Mikopo bila riba , kuwaunganisha vijana ambao hawana kazi na kuwapa kazi kwa kutumia ujuzi wao n.k

@ Kuongeza thamani , jikite kuongeza thamani na njia hii huwa ndo njia bora ya kufanya watu wawe upande wako na upate ushindi.

Hela kupata ushindi sio lazima uwe na hela nyingi Ila hela ya kukusaidia kuandaa watu wenye uwezo wa kukushauri , kukupa mbinu mbadala lazima uwe nayo.


Kama kuna MTU anagombea aje pm tufanye kazi 2025 ushindi lazima.
 
Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu?

Unamshauri nini azingatie na nini asijekirudia ambacho ulikiona kwa wagombea wengine kwenye chaguzi za nyuma?

Mwaka huu wa 2024 tutakwenda kuwa na zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwaka ujao wa 2025 kutakuwa na uchaguzi wa Serilaki kuu, hili ni zoezi muhimu sana katika kufanya maamuzi ambayo yanaweza kugeuza dira ya Tanzania tuliyonayo sasa na kuwa vile tunavyoitamani.

Hivyo kila mmoja ana wajibu wa kushiriki kuchagua kiongozi na kutoa maono ya aina gani ya viongozi anaowataka na pia viongozi asiwaowataka na tabia ambazo inabidi wawe nazo.

Je, unashauri nini kwa mtu anayetaka kugombea, aweje, afanye kitu gani na kitu gani asifanye ili kuipeleka Tanzania kule tunapotaka ifike?
Awe tayari kufungua maskio ya moyo wake, ili apate kuskia vema sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yake ya uongozi wa kisiasa. Hiyo ni muhimu sana. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu ๐Ÿ’

pili,
dhamira na nia yake iwe wazi kwa Mungu na kwa wanainchi regardless ya kipato alichonacho. Lazma afahamu kwamba, Elections is very expensive

Tatu,
KYC. Know Your Customers needs and wants. discover their priorities and set plans and alternatives to confront them positively. make sure the profile of the area you are intending to contest is very clear in your head politically, economically and ofcoz socially ๐Ÿ’

Nne,
zingatia sana platform utakayo tumia. I mean credibility ya chama cha siasa , cha kukubeba wewe nia yako, na hizo agenda zako kwa wanainchi. Sio unajiunga na chama ambacho identity yake ni matusi na mihemko. Utaangukia pua vibaya sana ๐Ÿ’

Tano,
usitafute umaarufu kwa kuwasema wengine vibaya, kutukana kwa umahiri, dharau na majivuno kwa wanainchi. Daima uwe mahiri na muwazi kuelezea kwa ufasaha mkubwa sera, mipango na mikakati yako makini ya kuwasaidia wanainchi wa eneo mahalia ๐Ÿ’

Ondoa woga na hofu, vaa ujasiri na bidii mshirikishe Mwenyezi Mungu kwa kila hatua, you can make it, na hata ikiwa vinginevyo,you will not regret but you will gain something very big for future political carrier ๐Ÿ’

kwa hayo mengi na machache, nakutakia maandalizi mema ya uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae mwaka ujao uchaguzi mkuu ๐Ÿ’
 
kama ni kijana atafute masuala mengine ya msingi.
Maana hao wazee Hawa chelewi kukulambisha unga mweusi.
acha kutisha na kupotosha vijana wenye nia za kua viongozi ๐Ÿ’

by the washirikina na wachawi ndio wanapaswa kuhofu vitu kama hivyo..

wazee wanakalishwa vizuri sana na wanatulia kabsaa ๐Ÿ’
 
Awe tayari kufungua maskio ya moyo wake, ili apate kuskia vema sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yake ya uongozi wa kisiasa. Hiyo ni muhimu sana. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu ๐Ÿ’

pili,
dhamira na nia yake iwe wazi kwa Mungu na kwa wanainchi regardless ya kipato alichonacho. Lazma afahamu kwamba, Elections is very expensive

Tatu,
KYC. Know Your Customers needs and wants. discover their priorities and set plans and alternatives to confront them positively. make sure the profile of the area you are intending to contest is very clear in your head politically, economically and ofcoz socially ๐Ÿ’

Nne,
zingatia sana platform utakayo tumia. I mean credibility ya chama cha siasa , cha kukubeba wewe nia yako, na hizo agenda zako kwa wanainchi. Sio unajiunga na chama ambacho identity yake ni matusi na mihemko. Utaangukia pua vibaya sana ๐Ÿ’

Tano,
usitafute umaarufu kwa kuwasema wengine vibaya, kutukana kwa umahiri, dharau na majivuno kwa wanainchi. Daima uwe mahiri na muwazi kuelezea kwa ufasaha mkubwa sera, mipango na mikakati yako makini ya kuwasaidia wanainchi wa eneo mahalia ๐Ÿ’

Ondoa woga na hofu, vaa ujasiri na bidii mshirikishe Mwenyezi Mungu kwa kila hatua, you can make it, na hata ikiwa vinginevyo,you will not regret but you will gain something very big for future political carrier ๐Ÿ’

kwa hayo mengi na machache, nakutakia maandalizi mema ya uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae mwaka ujao uchaguzi mkuu ๐Ÿ’


Ushauri mzuri .

Ubunifu huwa ndo msingi wa kuwapata watu na kupata ushindi.

Uchaguzi 2025 utakuwa mgumu Sana kwa baadhi ya viongozi ambao wana amini katika kubebwa.
 
acha kutisha na kupotosha vijana wenye nia za kua viongozi ๐Ÿ’

by the washirikina na wachawi ndio wanapaswa kuhofu vitu kama hivyo..

wazee wanakalishwa vizuri sana na wanatulia kabsaa ๐Ÿ’


Huyo atakuwa kiongozi anaogopa ushindani safari hii vijana tunashinda Ahsubui.
 
Kama unagombea Ccm issue ya wajumbe wala usiiogope wajumbe kuwapata ni rahisi hata Kama hauna pesa.

Mambo mengi hatutoyaandika hapa Ila ni muhimu kujua kupata ubunge ni mbinu
 
Ushauri mzuri .

Ubunifu huwa ndo msingi wa kuwapata watu na kupata ushindi.

Uchaguzi 2025 utakuwa mgumu Sana kwa baadhi ya viongozi ambao wana amini katika kubebwa.
actually,
ni fursa ya kipekee mno kwa vijana kujipambanua vyema umahiri na umakini wao kwenye kubuni mipango na mikakati ya kuwakomboa watu wa maeneo wanayokusudia kugombea uongozi ๐Ÿ’
 
actually,
ni fursa ya kipekee mno kwa vijana kujipambanua vyema umahiri na umakini wao kwenye kubuni mipango na mikakati ya kuwakomboa watu wa maeneo wanayokusudia kugombea uongozi ๐Ÿ’

Kikubwa tuwasiliane maana nnimeshapata Mbunge mmoja viti maalumu anataka jimbo

2015 -nimeuingiza MTU mjengoni
2020 - the same
Ila 2025 Mbunge atabidi tuingie mezani

Tunahitaji kuikomboa nchi na wananchi katika njia chanya.
 
Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu?

Unamshauri nini azingatie na nini asijekirudia ambacho ulikiona kwa wagombea wengine kwenye chaguzi za nyuma?

Mwaka huu wa 2024 tutakwenda kuwa na zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwaka ujao wa 2025 kutakuwa na uchaguzi wa Serilaki kuu, hili ni zoezi muhimu sana katika kufanya maamuzi ambayo yanaweza kugeuza dira ya Tanzania tuliyonayo sasa na kuwa vile tunavyoitamani.

Hivyo kila mmoja ana wajibu wa kushiriki kuchagua kiongozi na kutoa maono ya aina gani ya viongozi anaowataka na pia viongozi asiwaowataka na tabia ambazo inabidi wawe nazo.

Je, unashauri nini kwa mtu anayetaka kugombea, aweje, afanye kitu gani na kitu gani asifanye ili kuipeleka Tanzania kule tunapotaka ifike?
Kwanza achukue mapema sana kadi ya CHADEMA na kuonesha mchango wake katika siasa za kimapinduzi na za uwazi na ukweli zinazofanywa na CHADEMA. Pili ajitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwa tiketi ya CHADEMA, atafanikiwa sana.
 
Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu?

Unamshauri nini azingatie na nini asijekirudia ambacho ulikiona kwa wagombea wengine kwenye chaguzi za nyuma?

Mwaka huu wa 2024 tutakwenda kuwa na zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwaka ujao wa 2025 kutakuwa na uchaguzi wa Serilaki kuu, hili ni zoezi muhimu sana katika kufanya maamuzi ambayo yanaweza kugeuza dira ya Tanzania tuliyonayo sasa na kuwa vile tunavyoitamani.

Hivyo kila mmoja ana wajibu wa kushiriki kuchagua kiongozi na kutoa maono ya aina gani ya viongozi anaowataka na pia viongozi asiwaowataka na tabia ambazo inabidi wawe nazo.

Je, unashauri nini kwa mtu anayetaka kugombea, aweje, afanye kitu gani na kitu gani asifanye ili kuipeleka Tanzania kule tunapotaka ifike?
Asijaribu kupitia chama cha Mbowe na mdogo wake Lema,atapotea jumla.
 
Back
Top Bottom