Israel ilisharidhia kama HAMAS, haya mengine ni siasa Natenyahu apate pa kufichia uso!

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
28,142
36,141
1. Wengine husema siasa ni mchezo mchafu na hasa maelfu ya maisha ya watu yanapopotea kwa ubinafsi yaani ego ya mtu, labda hata ni mmoja tu!

IMG_20240509_074733.jpg


2. Kutokea meza ya mazumgumzo Cairo, yasemekana Natenyahu kumbe alishafika bei kwa kutaka au kushurutishwa.

IMG_20240509_074822.jpg


3. Kwamba tulipo, tuko kwenye tutoke vipi zaidi, japo ili hata watoto wadogo wasije wakapata kuona "mzee mzima" alivyolowa chapa chapa!

4. Kwamba Natenyahu sasa kwake umuhimu zaidi, uko kwenye: "inakuwaje yeye baada ya vita!"

5. Kumbe tusemeje kina sisi ambao ni waumini wa zile siasa za kistaarabu kwa maana yake halisi? Tofautisha hizi na zile wazitakazo CCM.

6. Ndiyo maana wanasema vijana wa Tandale, kunako "mwagwa maji" wakacheza kama kambale: "siasa ni ny*ko!"

7. Wale mashabiki wa Natenyahu tegemeeni tamko hivi karibuni kusikia Israel imeridhia makubaliano kwa sharti la vigogo wote wa HAMAS kwenda uhamishoni Qatar au Iran huko; kwamba kutakuwa, hakuna tena HAMAS Gaza!

8. Kwamba baada ya hapo tutaanza awamu nyingine tukiita ya "surgical operations." Yaani kuwindana kama paka na panya hadi tuweze ku "square holes" itakavyowezekana na "as long as necessary!"

9. Kwamba sharti litakuwa watuhumiwa kadhaa wa HAMAS, wasirejee tena Gaza hata milele: "Amina!"

10. Bila shaka kama bwana Misosi, tutoke vipi ndiyo iliyo iliyo mission kuu Israel: "Mission to Tel Aviv:"

IMG_20240508_160751.jpg


11. Mission muhimu sana kwake mkurugenzi, William Burns:

IMG_20240508_160645.jpg


12. Tuendelee kusubiri, nyama zinaweza kuwepo bado zaidi, chini.
 
So point yako ni siasa au uhalisia

1. Uhalisia.

2. Zingatia hoja hujibiwa kwa hoja.

3. Kwani yako ni ushabiki au ubishi bishi tu?

4. Ni mwanzo leo wewe kusikia kuhusu tetesi?

5. Yalianza ya yule bwana tukaambiwa yuko ofisini busy na mafaili.

6. Kwani leo katelefoni anakumbuka alitwambia nini? Au hata aliuliza point zetu, then?

7. Kwani kama pilipili usizozila zinakuwashia nini ndugu?!
 
Al Jazeera ni moja ya chombo cha habari ambacho kipo overated sana kwa sababu ukiangalia taarifa zake nyingi ni maoni ya watu binafsi ila yanakuzwa tu.
Nafikiri ni chombo cha habari ambacho kimekaa kama kurasa za facebook.
Wamejaa propaganda sana

1. Mkuu umeandika Kwa uchungu sana. Bila shaka SI Bure.

2. Kwamba una taabu na aljazeera ila hamna neno lolote kuwahusu CNN, Fox, NBC, MSNBC, ABC, BBC, Sky nk ambao wamekuwa hawaonyeshi kabisa maandamano ya wanafunzi vyuoni au lolote dhidi ya Israel kunaongea zaidi kuliko ulichoandika hapa.

3. Au wewe huoni hivyo ndugu yàngu?

4. Pia hukutupa Mawazo, labda tujielekeze Wapi? Ingependeza zaidi.

5. Na je ni maoni gani labda unadhani yanakuwa hayana msingi? Labda pia kwa nini? Ingependeza pia.
 
Sina uchungu wowote, nimeandika namna ninavyowaona Al Jazeera wanavyotoa habari zao.
Ni mara chache sana Al Jazeera inakuwa cited kama chanzo cha taarifa ila wao wanaongoza kucite hivyo vyombo vya habari ulivyovitaja hapo juu.
Al Jazeera habari zao nyingi ni hearsay na hwachukui hata muda kujiridhisha. Kuna maigizo mengi sana wanayatengeneza hadi unajiuliza hivi hiki ni chombo cha habari au ni wanaharakati? Ukitaka kunielewa nenda kwenye ukurasa wa X wa Al Jazeera Arabic na Al Jazeera Palestine, utagundua hakuna utofauti wa Al Jazeera na Hamas na kwamba Al Jazeera ni chombo cha habari kwa ajili ya Waislamu.
BBC, CNN , na vyombo vingine wanatoa taarifa kwa kuzingatia miiko ya habari na wala hawana mihemko kama ya Al Jazeera.
BBC na CNN hao wote ni waongo kama nchi zao we kinacho kusumbua ni ukristo unamini sana ujinga wa bibilia zenu kuwa kila wanacho ongea ndugu zake Paulo kiko sawa.


Unafananisha Aljazeera na face book au cnn na bbc hivi we akili zako ziko sawa kweli.

Miafrika mijinga sana ikiona ngozi nyeupe 😄
 
Netanyahu kisha juwa wazi hawezi kuivunja Hamas na kuimaliza pia, sa anapoteza mda ili asiende jela 😄
 
Sina uchungu wowote, nimeandika namna ninavyowaona Al Jazeera wanavyotoa habari zao.

1. Ninayaheshimu mawazo yako na ni jambo la heri kusema mwenyewe kuwa hauna uchungu wowote.

2. Ila sijui ukimya wako kuhusu vyombo vya kuhusu Kimya chao kwa lolote dhidi ya Israel kimeendelea hata baada ya kukukumbusha kinaweka maswali zaidi:

Israel anavyolazimisha tulishwe matango pori

3. Uzi huo hapo juu unathibitisha tokea kwa hao wengine habari kuhusu Israel zitufikiazo, huwa zimechujwa na IDF.

4. Hadi hapo huoni Al Jazeera ina information za maana zaidi kuhusu Israel kwetu kuliko TBC dhidi ya PT; Yaani kuliko hao vipenzi wako kuhusu Israel anaye censor taarifa zao?


Ni mara chache sana Al Jazeera inakuwa cited kama chanzo cha taarifa ila wao wanaongoza kucite hivyo vyombo vya habari ulivyovitaja hapo juu.
Al Jazeera habari zao nyingi ni hearsay na hwachukui hata muda kujiridhisha. Kuna maigizo mengi sana wanayatengeneza hadi unajiuliza hivi hiki ni chombo cha habari au ni wanaharakati? Ukitaka kunielewa nenda kwenye ukurasa wa X wa Al Jazeera Arabic na Al Jazeera Palestine, utagundua hakuna utofauti wa Al Jazeera na Hamas na kwamba Al Jazeera ni chombo cha habari kwa ajili ya Waislamu.
BBC, CNN , na vyombo vingine wanatoa taarifa kwa kuzingatia miiko ya habari na wala hawana mihemko kama ya Al Jazeera.

5. Sasa mkuu hao wanaotuletea taarifa zilizochujwa na IDF, wata cite vipi za aljazeera?

6. Kwamba uislam tena:

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)

7. Ama kweli safari bado sana.
 
1. Wengine husema siasa ni mchezo mchafu na hasa maelfu ya maisha ya watu yanapopotea kwa ubinafsi yaani ego ya mtu, labda hata ni mmoja tu!

View attachment 2985153

2. Kutokea meza ya mazumgumzo Cairo, yasemekana Natenyahu kumbe alishafika bei kwa kutaka au kushurutishwa.

View attachment 2985152

3. Kwamba tulipo, tuko kwenye tutoke vipi zaidi, japo ili hata watoto wadogo wasije wakapata kuona "mzee mzima" alivyolowa chapa chapa!

4. Kwamba Natenyahu sasa kwake umuhimu zaidi, uko kwenye: "inakuwaje yeye baada ya vita!"

5. Kumbe tusemeje kina sisi ambao ni waumini wa zile siasa za kistaarabu kwa maana yake halisi? Tofautisha hizi na zile wazitakazo CCM.

6. Ndiyo maana wanasema vijana wa Tandale, kunako "mwagwa maji" wakacheza kama kambale: "siasa ni ny*ko!"

7. Wale mashabiki wa Natenyahu tegemeeni tamko hivi karibuni kusikia Israel imeridhia makubaliano kwa sharti la vigogo wote wa HAMAS kwenda uhamishoni Qatar au Iran huko; kwamba kutakuwa, hakuna tena HAMAS Gaza!

8. Kwamba baada ya hapo tutaanza awamu nyingine tukiita ya "surgical operations." Yaani kuwindana kama paka na panya hadi tuweze ku "square holes" itakavyowezekana na "as long as necessary!"

9. Kwamba sharti litakuwa watuhumiwa kadhaa wa HAMAS, wasirejee tena Gaza hata milele: "Amina!"

10. Bila shaka kama bwana Misosi, tutoke vipi ndiyo iliyo iliyo mission kuu Israel: "Mission to Tel Aviv:"

View attachment 2985171

11. Mission muhimu sana kwake mkurugenzi, William Burns:

View attachment 2985168

12. Tuendelee kusubiri, nyama zinaweza kuwepo bado zaidi, chini.
Muda mwingine raha jipe mwenyewe 🤣😂
 
Mzuka wanajamvi.
logic ipo hivi
Israeli iliweka mashart magumu ikijua kua Hamas watakataa. Wameshangaa wamekubali mashart yote ya israel.
Hamas wao shart lao kuu ni moja tu. Wasifute hamas yote kwa gharama ya Hamas kukubali kila kitu.
Israel inailaumu hamas kwa kukataa kuangamizwhawapotee kabisa.

So sharti hamas wakubali kusain kua tunakubali tutaachilia mateka pia tuangamizwe hamas yote. Kitu ambacho hamas inaona huu usnge sasa.
Mataifa wapatanishi inawashauri Hamas wakubali kwani Raia wanakufa
Wanauliwa na Israel lakini lawama wanapewa wao.
So hadi sasa licha ya Hamas kukubali kila kitu kosa lao kubwa ni wanashindwa kumalizia hako kamkia kadogo kaliko baki. Baada ya kula Ngombe mzima.

Oh haleluya!
Shikarobobo rababa saya
 
Muda mwingine raha jipe mwenyewe 🤣😂

1. Kuwa unajipa raha kwa kuwala wengine kaa pia mkao wa kuliwa huendq nao inawapa raha!

2. Vivyo hivyo wa kuuliwa kama kwako kuuwa wengine ni burudani!

3. Yaani kufanzwa lolote ambalo kwako ni raha mno, kama unavyodhani wewe kwako kuwafanza wao!

4. Kwamba mkuki hauwezi kuwa Kwa nguruwe tu! 🤣😂
 
Mzuka wanajamvi.
logic ipo hivi
Israeli iliweka mashart magumu ikijua kua Hamas watakataa. Wameshangaa wamekubali mashart yote ya israel.
Hamas wao shart lao kuu ni moja tu. Wasifute hamas yote kwa gharama ya Hamas kukubali kila kitu.
Israel inailaumu hamas kwa kukataa kuangamizwhawapotee kabisa.

So sharti hamas wakubali kusain kua tunakubali tutaachilia mateka pia tuangamizwe hamas yote. Kitu ambacho hamas inaona huu usnge sasa.
Mataifa wapatanishi inawashauri Hamas wakubali kwani Raia wanakufa
Wanauliwa na Israel lakini lawama wanapewa wao.
So hadi sasa licha ya Hamas kukubali kila kitu kosa lao kubwa ni wanashindwa kumalizia hako kamkia kadogo kaliko baki. Baada ya kula Ngombe mzima.

Oh haleluya!
Shikarobobo rababa saya

Kimsingi kwa anachotaka Israel, angekuwa kawapa masharti mawili tu badala ya longo longo zingine. Kwa maana atakacho ni:

1. Kuachiwa kwa mateka wote wawe hai na wafu.

2. Wakimaliza, HAMAS wote kwenda kuonja sumu kwa ulimi (wao wenyewe), kama alivyochelea Sumaye.

Au nasema uongo: JokaKuu, Allen Kilewella, denoo JG, imhotep, Moisemusajiografii, Retired, MK254 na makamanda wenzangu wakiwamo wenye zao za mkizi, ufipa pale.
 
Back
Top Bottom