Iran Katiba iko Wazi ndani ya Siku 50 Uchaguzi wa Rais!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,724
145,582
Ni kwamba Katiba iko Wazi ila kuna Watu labda walitaka kufanya Janjajanja 😂

Wenzetu Iran Katiba inasema Rais akifa Makamu wa kwanza wa Rais anaassume madaraka ya Rais baada ya kuthibitishwa na Supreme Leader

Kisha ndani ya Siku 50 uchaguzi wa Rais unafanyika, na kila Mwananchi anaelewa hili hawahitaji kutafsiriwa

Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😀
 
Hivi katiba yetu imetoa kikomo cha Makamu wa Rais awe ameapishwa. Au inategemeana na Mtunza vifaru na mizinga mkuu akishaona tu viashiria vya nchi inawezwa kupigwa mnada na na wakulima (Mviwata) wakianza kupaza sauti basi mara moja Rais aapishwe.
 
Ni kwamba Katiba iko Wazi ila kuna Watu labda walitaka kufanya Janjajanja 😂

Wenzetu Iran Katiba inasema Rais akifa Makamu wa kwanza wa Rais anaassume madaraka ya Rais baada ya kuthibitishwa na Supreme Leader

Kisha ndani ya Siku 50 uchaguzi wa Rais unafanyika, na kila Mwananchi anaelewa hili hawahitaji kutafsiriwa

Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😀
Huku CCM ni walafi wa madaraka
 
Ni kwamba Katiba iko Wazi ila kuna Watu labda walitaka kufanya Janjajanja 😂

Wenzetu Iran Katiba inasema Rais akifa Makamu wa kwanza wa Rais anaassume madaraka ya Rais baada ya kuthibitishwa na Supreme Leader

Kisha ndani ya Siku 50 uchaguzi wa Rais unafanyika, na kila Mwananchi anaelewa hili hawahitaji kutafsiriwa

Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😀
hapakua na utata wowote Tz, mbona kwenye katiba yetu mambo yapo clear tu....

tamaa na uchu wa watu wachache tu wasio wazalendo ndio utata?

na kwa ulegevu wao na wasivyokua na maono ya mbali,
walikutana na mzalendo jasiri moja ,asie na tamaa wala uchu wa madaraka, akawatuliza, akawaongoza cha kufanya kimkakati na kimedani zaidi, na mambo yakaenda na kwisha kadiri ya katiba inavyo tamka na kusema mambo yawe ikiwa kitatokea kama kilichotokea Tz🐒
 
Huyo Grand Ayatolah hachaguliwi ni mpaka afe hamna Demokrasia hapo.
 
Tanzania tunatakiwa tuwaige wairani.haiwezekani rais arithi urithi Hadi awamu iishe.huu ni uwendawazimu kabisa maana ni kichaa pekee anayeamini kuwa makamu alipiga kampeni.katiba ibadilishwe ili ikitokea rais amefariki makamu arithi huo urithi wake Kwa miezi miwili na kuifanya uchaguzi upya.
 
Naona kwetu aliwaambia mama au tunaingia mtaani na kwenye TV kutangaza mengine
Ila kwao hakuna fyoko eti
 
Back
Top Bottom