Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,707
- 8,909
Waliosoma Cyber watueleze ili na wanasheria. Mfano nina kitecno changu nimesambaza taarifa kimakosa au sio makosa inakuwaje waende nyumbani kupekuwa wakati kilichofanya kosa au si kosa ni simu na mimi mtoa ripoti.
Nashukuru sana mitandao ya kijamii kama Facebook, Whatsapp kampuni zenu kuwa mbali isingekuwa hivo hata nyie mngepekuliwa maofisini
Nashukuru sana mitandao ya kijamii kama Facebook, Whatsapp kampuni zenu kuwa mbali isingekuwa hivo hata nyie mngepekuliwa maofisini