Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,475
220,053
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana nimeambiwa kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Masikini Erythrocyte
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
kikosi cha mafunzo ya mihemko na waporomosha matusi sio,right? :pedroP:
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Hivi Makonda ametimiza siku 30 tangu atoke kwenye UENEZI?
 
SGN_05_04_2024_1714832545958.png
 
Back
Top Bottom