Bei ya mchele ipoje Kahama

Love Doctor

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
734
788
Habari ndugu,

Kwa kahama mashine bei ya mchele ikoje huko asaivi

Kama kuna ndugu anafanya biashara hapo tuwasiliane i wish kuja huko next week kuona namna mzunguko wa mchele huko ulivyo au kama kuna mtu ana mchele mwingi na mzuri tufanye biashara
 
Back
Top Bottom