Kijana mwenye mtaji kati ya 1m hadi 5m hizi ndo biashara nyepesi kufanya, usikariri biashara

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,631
22,740
Vijana wengi wana mitaji midogo ila hawajui biashara gani wafanye kuendena na huo mtaji bila kupoteza huo mtaji, kwa ufupi ntataja aina za biashara ambazo kijana mwenye juhudi ya utafutaji anaweza kuanzisha.

1. Kwa 1m unaweza kununua piki piki (boxer) used ila ina hali nzuri na ukaanza nayo mdogo mdogo kama derivery-man au boda boda utapata 20k kwa siku sio mbaya kwa kuanza maisha na mwenye malengo (ceteriperibasi)

2. Broker au kufanya kama winga tafuta wateja kwanza ndo utafute bidhaa anaotaka jikite kwenye aina moja ya bidhaa piga picha za maduka ya watu utangaze online mteja hataki kujua kama duka ni la kwako yeye anahitaji bidhaa imfikie tu bila uhuni weka cha juu

3. Bedcure hi ni biashara yenye pesa nyingi ila inahitaji mtaji kidogo, kujifunza, kukata kucha na kuosha miguu pamoja na kupaka ina ya wanawake sio shida kubwa ni suala la kua na nidhamu, hao wanawake wanapesa za bure ukijishusaha kwa siku 50k sio haba utaipata tu.

4. Roadside chips and bites, tafuta sehemu ambae haina vibanda vya chips vingi ndo uweke ukifanikiwa kuuza kwa wateja 10 tu kwa siku una 10k, ndani ya masaa tu, utakuza mtaji kidogo kidogo.

5. Air bnb, hii ni biashara ya kisasa sana kodi vyumba vyako viwili matharani kwa 100k kila mwenzi weka farniture nzuri na safi tanganza mdandaoni ili wafeni weje wakodi kwa $100 kwa siku sawa sawa na 250k kila chumba hata akika wiki moja tu pesa itakutosha.(ceteriperibasi)

6. Online boutique, tafuta design au fashion shop piga picha weka mtandaoni maarufu kama jiji letu ongea na clients wako kwa kuongeza cha juu kwa kutumia bidhaa za watu wengine mkifika bei lipia umpelekee utapata clients wengine wengi.

7. Consultancy katika fani mbali mbali kama huna ujuzi wowote tafuta wenye ujuzi uwatumie wewe bila wenyewe kujua utapata pesa mpaka basi, ila epuka utapeli usimdanganye client wako, kama huna mjuzi katika hiyo fani achana nayo.

8. Evening coffee shop, birthday cakes, bread and Milk, market target iwe middle class wanao toka makazini sio kuuza kahawa hizi za wakosa ajira kwenye vijue vya simba na yanga..... tafuta middle class hususani wanawake wa ajiriwa birthday cake order ni lazima zawadi au gifts pesa nyingi zinaenda kwenye vitu kama hivyo we tafuta mbinu ya kuwafikia jitahidi uwe msafi na mtu wakusifia sifia wanawake mpole na mwaminifu mwanamke hupenda watu smart na waminifu utakua chef wao wa coctailparties zao, epukana na ngono za hovyo mtaji utapotea
 
Vijana wengi wana mitaji mdogo ila hawajui biashara gani wafanye kuendena na huo mtaji bila kupoteza huo mtaji, kwa ufupi ntataja aina za biashara ambazo kijana mwenye juhudi ya utafutaji anaweza kuanzisha.
penda watu smart na waminifu utakua chef wao wa coctailparties zao, epukana na ngono za hovyo mtaji utapotea
Usikalili = usikariri, kuca = kucha.... uandishi wako umekuondolea uhalali wa kushauri mambo ya biashara.
 
Vijana wengi wana mitaji mdogo ila hawajui biashara gani wafanye kuendena na huo mtaji bila kupoteza huo mtaji, kwa ufupi ntataja aina za biashara ambazo kijana mwenye juhudi ya utafutaji anaweza kuanzisha.

1. Kwa 1m unaweza kununua piki piki (boxer) used ila ina hali nzuri na ukaanza nayo mdogo mdogo kama derivery-man au boda boda utapata 20k kwa siku sio mbaya kwa kuanza maisha na mwenye malengo (ceteriperibasi)

wake mpole na mwaminifu mwanamke hupenda watu smart na waminifu utakua chef wao wa coctailparties zao, epukana na ngono za hovyo mtaji utapotea
Atakayekupuuza alaaniwe
 
Hahahaha.. kakurupuka sana. $100 si bora ukalale hoteli kali yenye hadhi?
Mkuu sio kila mtu ana mapenzi na hotel kubwa, tena jua hamna hotel ya $100 kwenye strategic location labda guest house au Logi, $100 nikawaida sanaa kwa watalii wetu.
 
5.air bnb, hi ni biashara ya kisasa sana kodi vyumba vyako viwili matharani kwa 100k kila mwenzi weka farniture nzuri na safi tanganza mdatandaoni ili wafeni weje wakodi kwa $100 kwa siku sawa sawa na 250k kila chumba hata akika wiki moja tu pesa itakutosha.(ceteriperibasi)
FB_IMG_17136160440648760.jpg
 
Ushauri mzuri mkuu.

Hiyo no.5 kwa bongo itaonekana kama Chai ila Kenya wanafanya vijana wengi na wanapiga pesa mno.

Nina mshkaji wangu anafanya hiyo, huwa wanachukua apartment wanapangisha kwa foreigners nadhani kwa Tanzania watu hapa wanashangaa kwa sababu ya mazingira yetu na mazoea.
 
Hiyo ni real kiongozi probably mazingira ya Tanzania sio rafiki ila ni bonge la biashara ukifanikiwa kufahamika.

Kwa mfano kuna app inaitwa Couchsurfing huwa naona watu wanatangaza Kazi zao za kupokea forgners na kuwapeleka maeneo mazuri kufanya utalii kwa malipo.

Ukifanikiwa kupata hata watatu ukawafanyia kwa uaminifu watakupa recommendation kule.

Hiyo recommendation inakuja kukubeba mno kwa sababu wengine wanapo ipitia watakuwa wanakutafuta baadae unajikuta una circle kubwa.

Sasa imagine uwe na forgners ambao wanakuja bongo wakitegemea mwongozo wako, kukulipa hata $1000 kwao sio tatizo kubwa as long as watakuamini na kuenjoy.

Nchi yetu nadhani kuna namna tumelala sana ama tunaishi ndani ya vitu tulivyo vizoea.

Issue ni kwamba mwanzoni ni kugumu saaaana ila haimaanishi kwamba hivyo vitu havipo au havifanyiki ila huenda lipo nje na mambo ambayo wewe binafsi umeyazoea.

Mwanzoni lazima utoe jasho haswaaaa
 
we jamaa akili ndogo mnoooooo, hadi nawaza unawezaje ishi kwa kiwango hiki cha akili

yaani makosa ya kiuandishi yaondoe uhalali wa mtu kushauriwa

fanya mpango wa kuongeza umeme kwa kichwa chako
Wewe boya mbona unanifuatilia sana?
 
Ushauri mzuri mkuu.

Hiyo no.5 kwa bongo itaonekana kama Chai ila Kenya wanafanya vijana wengi na wanapiga pesa mno.

Nina mshkaji wangu anafanya hiyo, huwa wanachukua apartment wanapangisha kwa foreigners nadhani kwa Tanzania watu hapa wanashangaa kwa sababu ya mazingira yetu na mazoea.
Mkuu inawezekana vizuri neenda soronela au ngororo hifadhi ya seregeti kuua vyumba kipindi cha off season utapata lipia kwa 6months viboreshe peak season watalii wanafurika kabisa
 
Back
Top Bottom