Helikopta iliyomuua Raisi isingeweza kupaa zaidi ya futi 10,000

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,477
11,464
Tofauti na ndege za abiria kubwa,helkopta inaruka kwenda juu sawa na ndege ndogo za abiria.Si zaidi ya futi 10000.
Ziko chche ambazo zimewekewa injini za turbine ambazo ni za kisasa ambazo zinaweza kufika mpaka futi 25000,lakini haifikii hata siku moja futi 40000 zinakopita ndege za abiri za masafa marefu.
Helkopta aliyopanda marehemu Ebrahim Raisi aliyekuwa raidi wa Iran ni muundo wa kizamani iliyotengenezwa Marekani mwaka 1971.
Ndege kubwa zikiingia kwenye eneo lenye shida zina uwezo wa kupaa tena juu kukwepa hali hiyo.Lakini ile aliyopanda Ebrahim Raisi kama kulikuwa na shida za hali ya hewa isingeweza kupaa tena juu ya hapo ilipokuwa.Lazima itafuta eneo itue kwa dharura au ipambane hivyo hivyo mpaka itoke eneo hilo.
Kabla ya chochote kingine haikuwa busara kumpandisha raisi wa nchi kwenye helkopta kama hiyo badala ya ndege.Vile vile ingesoma vizuri hali ya hewa na kukwepa eneo lengye ukungu.
 
Tofauti na ndege za abiria kubwa,helkopta inaruka kwenda juu sawa na ndege ndogo za abiria.Si zaidi ya futi 10000.
Ziko chche ambazo zimewekewa injini za turbine ambazo ni za kisasa ambazo zinaweza kufika mpaka futi 25000,lakini haifikii hata siku moja futi 40000 zinakopita ndege za abiri za masafa marefu.
Helkopta aliyopanda marehemu Ebrahim Raisi aliyekuwa raidi wa Iran ni muundo wa kizamani iliyotengenezwa Marekani mwaka 1971.
Ndege kubwa zikiingia kwenye eneo lenye shida zina uwezo wa kupaa tena juu kukwepa hali hiyo.Lakini ile aliyopanda Ebrahim Raisi kama kulikuwa na shida za hali ya hewa isingeweza kupaa tena juu ya hapo ilipokuwa.Lazima itafuta eneo itue kwa dharura au ipambane hivyo hivyo mpaka itoke eneo hilo.
Kabla ya chochote kingine haikuwa busara kumpandisha raisi wa nchi kwenye helkopta kama hiyo badala ya ndege.Vile vile ingesoma vizuri hali ya hewa na kukwepa eneo lengye ukungu.
Kwanza ndugu unachanganya fixed wings aircraft na rotary wing aircraft.

Nikuelimishe tu inaonekana hujui hata model ambayo imepata ajali ina requirement zipi.
According to official site ya bell aircraft, that particular model ina service ceiling ya 17,400f ft.
Na ina engine mbili za turbine, ni first series ya bell ku receive engine mbili.

So hoja yako bado ni weak.

kwanza fixed wing aircraft zina uwezo wa kuruka mbali zaidi, weakness yake zina require viwanja vya ndege.
Helicopter hazihitaji viwanja vya ndege, vertical take off/ landing inazifanya na pia zinaweza hoover over ana area.

Haijalishi rais anatumia usafiri gani, lazima usafiri wowote ule uwe vizuri kiufundi na kiusalama.
white house wanatumia helicopter za 1960s an 70s mpaka leo, wao wanawezaje ?
 
Kwanza ndugu unachanganya fixed wings aircraft na rotary wing aircraft.

Nikuelimishe tu inaonekana hujui hata model ambayo imepata ajali ina requirement zipi.
According to official site ya bell aircraft, that particular model ina service ceiling ya 17,400f ft.
Na ina engine mbili za turbine, ni first series ya bell ku receive engine mbili.

So hoja yako bado ni weak.

kwanza fixed wing aircraft zina uwezo wa kuruka mbali zaidi, weakness yake zina require viwanja vya ndege.
Helicopter hazihitaji viwanja vya ndege, vertical take off/ landing inazifanya na pia zinaweza hoover over ana area.

Haijalishi rais anatumia usafiri gani, lazima usafiri wowote ule uwe vizuri kiufundi na kiusalama.
white house wanatumia helicopter za 1960s an 70s mpaka leo, wao wanawezaje ?
Na kweli lile dude la white house kwanza linatisha hata kama lipo imara for President for me naliona la kizamani sana hata umbile lake japo kubwa alijisemea Dully Sykes Nyambizi
 
Kwanza ndugu unachanganya fixed wings aircraft na rotary wing aircraft.

Nikuelimishe tu inaonekana hujui hata model ambayo imepata ajali ina requirement zipi.
According to official site ya bell aircraft, that particular model ina service ceiling ya 17,400f ft.
Na ina engine mbili za turbine, ni first series ya bell ku receive engine mbili.

So hoja yako bado ni weak.

kwanza fixed wing aircraft zina uwezo wa kuruka mbali zaidi, weakness yake zina require viwanja vya ndege.
Helicopter hazihitaji viwanja vya ndege, vertical take off/ landing inazifanya na pia zinaweza hoover over ana area.

Haijalishi rais anatumia usafiri gani, lazima usafiri wowote ule uwe vizuri kiufundi na kiusalama.
white house wanatumia helicopter za 1960s an 70s mpaka leo, wao wanawezaje ?
Wavaa kobazi wapi bize kutengeneza mabomu tu
 
Tofauti na ndege za abiria kubwa,helkopta inaruka kwenda juu sawa na ndege ndogo za abiria.Si zaidi ya futi 10000.
Ziko chche ambazo zimewekewa injini za turbine ambazo ni za kisasa ambazo zinaweza kufika mpaka futi 25000,lakini haifikii hata siku moja futi 40000 zinakopita ndege za abiri za masafa marefu.
Helkopta aliyopanda marehemu Ebrahim Raisi aliyekuwa raidi wa Iran ni muundo wa kizamani iliyotengenezwa Marekani mwaka 1971.
Ndege kubwa zikiingia kwenye eneo lenye shida zina uwezo wa kupaa tena juu kukwepa hali hiyo.Lakini ile aliyopanda Ebrahim Raisi kama kulikuwa na shida za hali ya hewa isingeweza kupaa tena juu ya hapo ilipokuwa.Lazima itafuta eneo itue kwa dharura au ipambane hivyo hivyo mpaka itoke eneo hilo.
Kabla ya chochote kingine haikuwa busara kumpandisha raisi wa nchi kwenye helkopta kama hiyo badala ya ndege.Vile vile ingesoma vizuri hali ya hewa na kukwepa eneo lengye ukungu.
Siyo kweli; mbona zile nyingine mbili ziko salama na ndizo zilizopaa juu zaidi ya ile ya Raisi. Kwenye msafara ule fleet commander alikuwa ni yule pilot wa Raisi na ndiye aliyetoa amri kwa helicpter zote kuruka juu zaid kutokana na ukungu, ila zenyewe zipofika juu hazikuiona ile ya Raisi. Hiyo ilikuwa ni ajali kama ajali nyingine yoyote tu.
 
Helikopta zilikua tatu kwenye huo msafara, ila mbili zilifika salama na hiyo moja ikaliwa.....
 
Kwanza ndugu unachanganya fixed wings aircraft na rotary wing aircraft.

Nikuelimishe tu inaonekana hujui hata model ambayo imepata ajali ina requirement zipi.
According to official site ya bell aircraft, that particular model ina service ceiling ya 17,400f ft.
Na ina engine mbili za turbine, ni first series ya bell ku receive engine mbili.

So hoja yako bado ni weak.

kwanza fixed wing aircraft zina uwezo wa kuruka mbali zaidi, weakness yake zina require viwanja vya ndege.
Helicopter hazihitaji viwanja vya ndege, vertical take off/ landing inazifanya na pia zinaweza hoover over ana area.

Haijalishi rais anatumia usafiri gani, lazima usafiri wowote ule uwe vizuri kiufundi na kiusalama.
white house wanatumia helicopter za 1960s an 70s mpaka leo, wao wanawezaje ?
Detective,ni kweli haujui kuandika kwa kiswahili mwanzo-mwisho?Kuandika kama mnaongea wawili si vema.Toa elimu kwa lugha moja iliyonyooka.
 
Tofauti na ndege za abiria kubwa,helkopta inaruka kwenda juu sawa na ndege ndogo za abiria.Si zaidi ya futi 10000.
Ziko chche ambazo zimewekewa injini za turbine ambazo ni za kisasa ambazo zinaweza kufika mpaka futi 25000,lakini haifikii hata siku moja futi 40000 zinakopita ndege za abiri za masafa marefu.
Helkopta aliyopanda marehemu Ebrahim Raisi aliyekuwa raidi wa Iran ni muundo wa kizamani iliyotengenezwa Marekani mwaka 1971.
Ndege kubwa zikiingia kwenye eneo lenye shida zina uwezo wa kupaa tena juu kukwepa hali hiyo.Lakini ile aliyopanda Ebrahim Raisi kama kulikuwa na shida za hali ya hewa isingeweza kupaa tena juu ya hapo ilipokuwa.Lazima itafuta eneo itue kwa dharura au ipambane hivyo hivyo mpaka itoke eneo hilo.
Kabla ya chochote kingine haikuwa busara kumpandisha raisi wa nchi kwenye helkopta kama hiyo badala ya ndege.Vile vile ingesoma vizuri hali ya hewa na kukwepa eneo lengye ukungu.
ina maana huyo pilot wake ambaye alikuwa na cheo kikubwa jeshini hakujuwa yote hayo lakini wewe ndiye unayejua?
 
There will be a lot of theories in the aftermath of the death of the Iranian dictator in the helicopter crash but the reality is that the Persian state needs to review its foreign policy especially toward Israel otherwise they will have to learn to live with the similar scenarios for foreseeable future.
 
There will be a lot of theories in the aftermath of the death of the Iranian dictator in the helicopter crash but the reality is that the Persian state needs to review its foreign policy especially toward Israel otherwise they will have to learn to live with the similar scenarios for foreseeable future.
And,if at all,they have got glasses to enable the reading,better do that.
 
There will be a lot of theories in the aftermath of the death of the Iranian dictator in the helicopter crash but the reality is that the Persian state needs to review its foreign policy especially toward Israel otherwise they will have to learn to live with the similar scenarios for foreseeable future.
True
 
Naona maruweruwe tu! Hebu niambieni huyo Raisi ni Rais wa wapi au ni jina tu, na kinaendelea nini?
 
Back
Top Bottom