Dkt. Kigwangalla: Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, alimfukuza Zitto na sasa anamfanyia figisu Lissu. Tumwite Ayatollah Mbowe au Kabaka Mbowe

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,724
145,595
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.

Screenshot 2024-05-20 160107.png
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni 😂😂🌟
Huyo Ngwangwalla hana akili.
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni
Sasa nimeamini kuwa Hamisi ni Mjinga hajui kilichomwondoa Zitto chadema au anajizima Ufahamu
 
Sijaona chama chenye demokrasia kwa asilimia zote.
Huyo Mbowe wanachama wenzake wamelalamika? Vp Mwalimu kaongoza kwa miaka mingapi?
Kwann CCM wanalazimisha kofia mbili yaani uenyekiti na urais? Hofu ikizidi inaleta udikteta
Vyama vyote kila mtu amezungukwa na jamaa au ndugu zake.
Vyeo nikwakujuana au ukada ndio kigezo.
Ilifikia mahali ukichagua chama kingine unaminywa kwenye huduma za kijamii.

Juzi daktari aliyekua anamhudumia Lissu amenyanyasika na kutukanwa na akina Mtaka.
HAKUNA DEMOKRASIA. TENA HAO WANAOMSEMA MBOWE WAO HAWAJIELEWI
 
Post ya 14 hii, hakuna aliyejibu hoja ya Kigwangala. Hivi ni kwanini huwa mtu akimuongelea Mbowe na kuachia uenyekiti huwa ni lazima aliyetoa hilo wazo ashambuliwe!?,hivi ni kweli hakuna mtu mwingine chadema anayeweza kuwa mwenyekiti wa chama zaidi ya Mbowe!?!?..., Hivi chadema wote wanaona ni sawa Mbowe awe mwenyekiti wa kudumu!?,humu huwa namkubali Tindo tu kwenye suala la mwenyekiti kuongoza bila kikomo.
 
Hamisi huyu huyu aliyewapigisha push up watu wazima alipokua waziri Leo hii anaongelea demokrasia?
Alianza kumchimba Nyalandu baadaye akagundua Nyalandu Ni Moto wa kuotea mbali, akamuaza Mo, Mo hata hakutaka kumjibu, hata Mbowe hatamjibu.
Hamisi. Jimbomi hakuna maji Safi na madawati mbona huyasemei? Au umejua safari hii hubebwi Tena?
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dr Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Kigwa anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla

Ahsanteni 😂😂🌟
Yule mdori kule mjengoni analalaga wapi🤣🤣
 
Swala la kujirudiarudia au kukaa sana sio hoja mbona CCM wamekalia nchi since Uhuru, hoja ni una impact gan hapo ulipo. Democracy za Kimagharibi ni hatari kwa upatikanaji wa viongoz wa watu maana ni rahis kuchomekea Mapandikizi/Nagugu kama Samia kwa Kigezo cha hovyo tu ati Ujinsia leo tunalia Watanganyika wote akiwamo na Yeye Kigwa japo analilia Pazuri mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom