Habari kwa wanaJamiiForums wote!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya jana baada ya kuifungua account yangu ya whatsApp niliendelea na mambo yangu ya kawaida (ku-chat na kuangalia baadhi ya vitu nilivyotumiwa), ghafla nikakutana na Ban ikionesha nimezuiwa kutumia akaunti ya whatsApp. Niliandika review na kuituma whatsApp, baada ya masaa 24 nilipata ujumbe kwamba nilikiuka Sheria za whatsApp.
Siku ya leo nimetumia namba nyingine nakujiunga whatsApp lakini mambo yamebaki vile vile nimelimwa Ban nyingine. Sababu ni ile ile, imefika muda nimeona haya mambo ya whatsApp nikuachana nao tu. Ufanye hiki unaambiwa umevunja sheria 😂😂😂
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya jana baada ya kuifungua account yangu ya whatsApp niliendelea na mambo yangu ya kawaida (ku-chat na kuangalia baadhi ya vitu nilivyotumiwa), ghafla nikakutana na Ban ikionesha nimezuiwa kutumia akaunti ya whatsApp. Niliandika review na kuituma whatsApp, baada ya masaa 24 nilipata ujumbe kwamba nilikiuka Sheria za whatsApp.
Siku ya leo nimetumia namba nyingine nakujiunga whatsApp lakini mambo yamebaki vile vile nimelimwa Ban nyingine. Sababu ni ile ile, imefika muda nimeona haya mambo ya whatsApp nikuachana nao tu. Ufanye hiki unaambiwa umevunja sheria 😂😂😂