Search results

  1. M

    Mawaziri watakaomwangusha JK

    Msanii haachi usanii...na anza na huyu hapa: Waziri wa viwanda na biashara, Dr Abdallar .O. Kigoda From Wikipedia, the free encyclopedia Link:Abdallah Omar Kigoda - Wikipedia, the free encyclopedia
  2. M

    Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    DailyNews Online Edition - Mr Maige, was that the full story?
  3. M

    Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    Huyu ndio Maige, huu ndio ukoloni mambo leo. Yeye kufanya kazi british council imekua nafasi ya kuwatumia wakoloni (british) kupata ubunge. Baada ya hapo analipa fadhila. Swali langu ni kwa mheshimiwa JK, aliona nini kwa huyu bwana kumchagua waziri katika wizara hii nyeti ?.... Ni nani...
  4. M

    Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    MAIGE ameingia katika tamaa, ukifatilia historia ya huyu bwana kwa kweli nimebaki na jibu moja tu. "Maige ni mwizi aliyeshindwa kujitetea. 1. Mkopo aliochua ata kama analipa interest tu. Ni pesa nyingi kwa mtumishi asiyekua na muda mrefu kwenye madaraka 2. Maelezo yake yanamfunga zaidi...
  5. M

    Kwanini ninagombea Ubunge wa EAC - My Case!

    Despite all the privileges that you had growing in that family...
  6. M

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Shukran Mohamed, mwenyezi mungu akuzidishie. Faiza, barubaru, Tropical nimewasoma...naona itabidi wajipange upya. Siku zote tusimamie ukweli ata kama ukweli unauma...historia yetu haiwezi kubadilishwa na watu wachache.. " The truth will set us free"
  7. M

    Manji ajaribu kujisafisha Kashfa ya Kagoda; ajichongea!

    The only reason these fools are still playing with the system, is because the president is behind all this..I mean Msemakweli has more evidence than Osman Rashid and his people?...DPP?. The president has placed incompetent and corrupt people everywhere to cover his back... Ngelejas, Shimbos...
  8. M

    Zaidi ya Suti: WikiLeaks yafunua mgongano kati ya JK, Kapuya na Gen. Waitara...

    JK, you can't fool all the people all the time..... Wewe na rafiki zako EL, RA, Chenge must go!!
  9. M

    Who Recruited Kikwete and what did they see in him and when?

    Sio lazima uwe na degree kujua huyu JK anauza nchi...msaliti wa nchi na wananchi wake. Kiongozi mbovu mbovuuuuuuuuuuuuuu. Tusikae kimpya..hili sio swala la CCM au Chadema, hili ni swala la Taifa zima,nchi yetu. Tusiangalie vyama vyetu, huyu siyo CCM/CUF/CHADEMA, huyu ni msaliti wa watu...
  10. M

    Who Recruited Kikwete and what did they see in him and when?

    TZ hatujawahi kua karibu na Marekani kama hivi sasa, kwa kweli ukifatilia Wikileak, Safari za JK US nk, naishia na jibu moja tu!! JK ini kibaraka wa wamerikani. Maswali ni mengi, kwanini umekua kibaraka? Ni wapi tunakokwenda ?
  11. M

    Rais Kikwete akifungua Hoteli Mpya ya Kitalii ya Bilila Lodge Kempinski

    Hawa ni wawekezaji, na wamewekeza hoteli za kitalii duniani, sio Tanzania tu. Hii speech ya JK kwa kweli it's below the standard. Alafu nikiangalia utetezi waliotoa Ikulu na hii speech naona haviendani...Another 4 yrs with this guy, only GOD knows...
  12. M

    Tanzania denies President bribe claims in U.S cable

    REMARKS BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE OFFICIAL OPENING OF THE SERENGETI BILILA LODGE KEMPINSKI, 10TH JULY, 2009 Honourable Maj. Ge. Kahinda QtafireMinister for Tourism and Natural Resources; Mr. Reto Witter, President and CEO of Kempinski...
  13. M

    Tanzania denies President bribe claims in U.S cable

    REMARKS BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE OFFICIAL OPENING OF THE SERENGETI BILILA LODGE KEMPINSKI, 10TH JULY, 2009 Honourable Maj. Ge. Kahinda QtafireMinister for Tourism and Natural Resources; Mr. Reto Witter, President and CEO of Kempinski...
  14. M

    Tanzania denies President bribe claims in U.S cable

    Ni bora wangekaa kimpya...naona wamesahau kuwa JK ndio aliofungua Serengeti Kempinshi lodge...Hii press statement inamfunga raisi Source MICHUZI
  15. M

    Rais Kikwete akifungua Hoteli Mpya ya Kitalii ya Bilila Lodge Kempinski

    Source: Michuzi REMARKS BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE OFFICIAL OPENING OF THE SERENGETI BILILA LODGE KEMPINSKI, 10TH JULY, 2009 Honourable Maj. Ge. Kahinda QtafireMinister for Tourism and Natural Resources; Mr. Reto...
  16. M

    Rostam! - Tafadhali Bwana

    Nakubalia na Mwanakijiji 100%. Badala ya watu kushangilia kuanguka kwa huyu fisadi na kumlani kwa kuwabia, kuwatapeli watanzani, eti leo hii watu wanampongeza...R.A anatakiwa afikishwe kwenye mikono ya sheria sio kupongezwa hata kidogo.....he was never for the people, but for his dodge business...
  17. M

    Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

    Kwanza mambo ya kagoda yalitokea alipokua basili maramba, aliyewaita wakaguzi ni Zakhia meghji... sasa ni mawaziri wangapi wanaoweza kusema Governor wa benki amedanganya ???? Wengi mmejaribu kumuhusisha na EPA bila mafanikio. Kwa sababu ukweli ni kuwa EPA ilitokea wakati wa Basil Mramba, Pesa...
  18. M

    Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

    Hii ya mama mkwe magazeti ya RA na wafuasi wa mafisadi walijaribu kuitumia bila mafanikio. Kama una ushahidi si ulete hapa badala ya kuleta umbeya
  19. M

    Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

    Huyo ndio mbaya wenu nyie mafisadi....na hilo mnalijua 1) Alisema kweupeee kuwa Balali alidanganya 2) Amesema kweupee bosi wenu RA ndiye fisadi pamoja na magazeti yake na waandishi wake 3) Mr President, usidanganye, sio kweli kwamba Zakia alijiuzulu...tutake radhi kwenye jamvi kwa kujaribu...
  20. M

    Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

    You don't need Hosea's boys to prove this dude is guilty of corruption...I think things have gone too far, Lowassa should join Mramba and others in court... Good job invisible!
Back
Top Bottom