Search results

  1. John_Anthony

    Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

    Kwa kifupi ni kwamba wanapata manufaa makubwa sana kwenye hii nchi kuliko hata hiyo thamani ya mikopo tunayo pewa, umewahi kuona wapi mtu anamkopesha hela mtu ambaye hajalipa madeni, nchi inadaiwa lakini cha ajabu tunaendelea kukopeshwa tu, nikitu kisichowezekana kabisa lakini kwa nchi za...
  2. John_Anthony

    Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

    Ndio namaanisha matarajio ya mtu ni yapi? Huwezi kumshauri afungue duka la simu huku kijijini ikiwa anataka kuwa mfanya biasha wa mataifa, yaani huwezi kumwambia mtu afungue library ikiwa ana mitazamo ya kushindana na MO au Bakhressa
  3. John_Anthony

    Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

    Mimi naweza kutaja fursa hapa lakini natakiwa kujua malengo ya mtu mwenyewe, nitamshauri fursa na project kubwa kubwa kumbe yeye interest yake siyo international entrepreneur au sio kuwa national level kuna wengine hawana mambo mengi wanataka kufanya biashara ili apate tu hela ya kula Sasa mtu...
  4. John_Anthony

    Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

    Huyo jamaa sidhani kama anayo elimu ya kutosha kwenye biashara, anahitaji mifano mingi sana ili akae sama Watu wamefanya biashara za aina nyingi lakini si kwamba walizipenda zote, akiwa anataka kufika mahali fulani ni lazima uipende kila hatua unayo ipiga, Nitoe mfano wa Ally yule mmiliki wa...
  5. John_Anthony

    Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

    Ukiendekeza hisia kwenye biashara basi ujue bado hujakomaa kibiashara,, mfanya biashara anakuwa makini na mahesabu deal na faida sambamba namuda, mfanya biashara huwa anapenda biashara inatakayo mlipa kwa muda fulani, ukiwa kama mfanya biashara unatakiwa uwe na macho ya kuona mbele, mfanya...
  6. John_Anthony

    Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

    Tunakopa afu tusubiri kusamehewa, unajua itakuwa imetugharimu kiasi gani?? Hadi tuje tusamehewe hiyo mikopo
  7. John_Anthony

    Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

    Kwahiyo wewe una muunga mkono raisi kwa kufanya kitu gani? Au na wewe ni miongoni mwao??
  8. John_Anthony

    Makonda adai kuwindwa na Watu 8

    Wewe na makonda nani mtafuta kiki kwa huu uzi wako 🤔
  9. John_Anthony

    Rushwa imehalalishwa? Mbona sehemu nyingi ukienda watu wanadai rushwa bila kificho?

    Kwa sasa tuangalie kuhusu suala la kukopa fedha, wakija hao walipaji ndio watakuwa na uchungu na matendo ya namna hiyo kwa sasa bila rushwa huwezi fanikiwa kwenye jambo lako we toa tu rushwa 😐
  10. John_Anthony

    Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

    Ngoja tudeal na kukopa tu, walipaji watakuja karne zi jazo 😂 kuleni bata tu wajukuu wenu watalipa hayo madeni
  11. John_Anthony

    Nimeamini Maisha si kombolela, nimepata akiba ya Tsh. Milioni 14.7 mwaka huu

    Sasa nadhani tutakutana "Bloomberg Terminal" sio huku JF
  12. John_Anthony

    Nimeamini Maisha si kombolela, nimepata akiba ya Tsh. Milioni 14.7 mwaka huu

    Safi sana mkuu ingawa sijasoma mpaka mwisho,, nitarudi kusoma
  13. John_Anthony

    Moshi: Mke Amuua Mume Wake Kisa Amemkuta Kwa "X"

    Hizi tabia sasa zimekuwa kero sana kwa nyakati hizi watu bado wanauana uana hovyo kisa mapenzi 🥲
Back
Top Bottom