Search results

  1. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Wanasiasa nawachukia sijawahi kupiga kura maisha yangu yote
  2. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Na tuliziaminisha jamii tumepata za moja kwa moja
  3. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Na tuliaminishwa vibaya tangu tukiwa shule uhakika wa ajira ila mateso ni makubwa kuanzia diwani hadi mwananchi wa kawaida.
  4. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umekasirika
  5. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Iko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto. Tamisemi ikaajiri watumishi 300 kwa Mkataba was miaka mitatu majina walichukua kwenye database ya waliomba ajira mwezi was nne mwaka 2023 hivyo Kuitwa kazini ilikuwa mwaka huu January. Tukalipoti kazini na kupanga...
  6. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Unaenda kwenu una malimbikizo yote na naidai serikali inilipe. Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
  7. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    @cocastic tuko wote kwenye jukwaa la ajira siwezi kukimbia sijui naenda wapi nataka nipate haki kwa uzuri wala sio kupanic
  8. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Narudi wapi nilikotoka kugumu pia akili imestuck
  9. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Unatakiwa ujue ukitoka unaenda wapi ?
  10. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Haah na kwanini wameita kazini na wanajua hawana hela.
  11. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Sasa kwanini wanatesa watumishi was afya na wanahitaji watu hao wadeal na afya za watanzania
  12. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Tukiwauliza wanasema hela imekwama BOT. Amezuia malipo mengi ya serikali Takribani mwezi. Issue lini tatizo litakuwa solved hakuna jibu
  13. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    [emoji23][emoji23]ila Tulitamani kujua wao wanatusaidiaje kabla hatujafanya hayo maamuzi.
  14. B

    KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

    Nimeandika mara ya Tano nimeona kabisa jamiiforum haiko na lengo la kunisaidia. Maana niliomba wapost kwenye mitandao ya kijamii Juli kupush Hili suala ila suala langu limegonga mwamba mpaka nimepoteza imani na jf
Back
Top Bottom