Salaam
Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee
Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote
Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe...
Salam
Pato la Taifa,kodi ya MTANZANIA
Nazungumzia fedha inayokusanywa na serikalini kwenye secta zote hapa nchini, namaanisha secta zote, madini,ardh,usafirishaji,mbuga,uchumi wa blue/bahari,hospital nk... zote zote
Kama ungekuwa na mamlaka nazo ungeanza na secta gani? Kuiweka sawa au...
Habari zenu wakuu,
Nisiwachoshe, niwape kisa kifupi kilichonitokea 2014 katika mishe zangu za utafutaji.
Nilipanga kwenda nchi fulani kwenye utafutaji na nilikuwa mwenyewe Bahati mbaya njiani tulipata ajali mbaya na alhamdullillah nilisalimika kutoka mzima, wapo waliopoteza uhai na majeruhi...
Habari zenu wakuu
Nianze moja kwa moja nisiwapotezee mda
Mwaka juzi mwishoni nilirudi mtaani nilipokuwa naishi baada ya kusafiri na kukaa miaka 5 , nilifurahi kukutana na ndugu na marafiki kwa siku nyingi
Katika mizunguuko nikakutana na kasichana kazur nacho nilikuwa nakajuaga zamani...
Sometimes mtu una miss tu ugomvi na kutukanana na majibizano ya hapa na pale na hauna watu wa kugombana nao
Huku kwetu kila mtu na habari zake yaani kila mtu yupo ndani ya yard yake hauwezi kwenda kwa nyumba ya yeyote kwenda kupiga story au kuangalia mpira ufupi hauna nafasi ya kujibizana na...
Heshima kwenu wakuu
Nimembebea pesa ya kutosha ya kumpa mwamba,
Sipo Tanzania, umri 26-30 (code) sababu ya hali yangu mbaya ya kiuchumi nimejikuta nipo nje ya taifa langu pendwa lenye amani na upendo TANZANIA sijilaumu naamini katika kujifunza na kukomaa katika utafutaji, kuongeza ujuzi mbali...
Hamjambo?
Mzee wenu nimekuja kwa unyenyekevu Safari hii, Kama hamjambo na mimi sijambo.
Wahusika JF naomba mlishikie kidedea hili swala kulifikisha mamlaka husika
Naulizia sakata la vijana 5 waliopotea miaka kadhaa iliyopita walipatikana? na Kama walipatikana mbona hatukupewa mrejesho na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.