Asalam aleikum, kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kunipa uzima hakika ni faraja kupanda jukwaani kusema ya moyoni
Nahitaji mke wa kiislamu, sifa zingine ni za ziada nahitaji kuoa sasa kikubwa umri usiwe mkubwa sana, asizidi miaka 32 maana mimi nina miaka 35.
Inshalaah, pia mimi ni mtumishi wa...
Tulia sio kila mtu kachelewa sababu ya kukataa ndoa nilikuwa natengeneza maisha mimi na nitakaemuoa tuqeze kuishi kwa furaha lakini kutengeneza kipato sasa niko vizur naweza kuoa sasa
Hapa nakuja kwenu ndugu zangu najua hapa ni platform nzuri kuweza kupata mke serious hakika naimani hapa nitapata namna nahitaji mwenye mapenzi ya kweli
SIFA ZANGU
Miaka 36 now
Sina mtoto
Rangi nyeusi
Muislamu
Nina maisha pia nimeajiliwa
Sifa mwanamke ninaemtaka
Awe na mapenzi serious
Awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.