Wabunge wa CHADEMa kwa umoja wao wametoka nje ya bunge mara Rais alipoanza
kulihutubia bunge. Walikuwa watulivu toka mwanzo, kuingia kwa Speaker na
Rais, Sala ya kulifungua bunge na hata kumsikiliza Spika akisemea umuhimu
wa Rais kama sehemu ya bunge, lakini Rais alipokaribishwa, within the very...
Mimi kila nikiangalia hii thread machozi yananitoka. Kwa kweli inatia huruma sana. Rais ana huruma au nini? Mimi nadhani kwa sasa lazima Waziri wa Afya aingilie kati _ Dr Mfisi should be out kwa kuwa kiungwana aliwaahidi watz kuwa watakuwa makini na afya ya Rais baada ya tukio la Mwanza na kwa...
Makala ya Bw Deodatus Balile katika gazeti la Mtanzania toleo no 0856-5678 lenye kichwa cha habari "Dk Slaa avunja ndoa" imenishangaza sana. Imenishangaza kwa sababu kadhaa, kwanza, mtu kama Balile, ambaye ana kadigrii ka uzamili bado hana upeo wa kujua kuna maisha binafsi ya mtu, ambayo...
As you requested, this is the short version:
I would like to draw your attention on Oil Link Filling Station, at the adjacent of Mwenge Road and Shekilango around Africa Sana opposite the Ambiance Club.
I went there last Sunday for petrol. After the guy filled the car infront of me, it...
Tukio lilitokea siku ya Jumapili tarehe 11 mwezi Julai, 2010 katika kituo cha mafuta cha Oil link Afrika Sana Mwenge, bado linaniachia maswali mengi. Swali kubwa ni kuwa: EWURA inamlinda vema mlaji wa mafuta nchini? Je, suala zima la kumlinda mlaji katika nchi yetu linapewa kipaumbele cha...
Nimekuwa hapa Ughaibuni kwa muda sasa na nimepata bahati ya kukutana na watanzania wenzetu walio huku ughaibuni kwa muda mrefu.
Nimejifunza jambo moja kutoka kwa hao woote.
Watu hawaijui tena nchi yao!!!
Inaonekana wengi wamebaki kutegemea habari za blog mbali mbali kujua kinachoendelea...
Wana JF
Itatoa furaha kubwa pale ambapo watanzania wenzetu wanang'ara katika anga za kimataifa. Si michezo tu (Hasheem) ila sasa katika anga za kitaaluma ambapo Mama yetu, Mwalimu wetu Prof Ana Tibaijuka naye ameteuliwa miongoni mwa washindi wa Nobel Prize katika mazingira inayotolewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.