Nilishawahi kutafakari juu ya jambo hilo.nikatafakari sana kwanini alama hiyo ikanyagwe? Hiyo ni ishara ya kuisigina bendera.kitendo ambacho ni ishara ya kuidharau nchi husika
Hayo magoli yanayolipiwa ipo siku wote wanaohusika makaburi yao yatachapwa bakora,fimbo,mijeredi.
Haiwezekani vituo vya watoto yatima.wazee.ALBINO.wanaishi katika mazingira magumu.huku nyumba za vituo na huduma ni mbaya.ole wao
Heri yenu mnaotambua na kukubali mapungufu yaliyojitokeza kwenye uchaguzi uliopita.lakini kwa namna moja au nyingine bado haiingii akiliini.ilikuwa vipi mkakubali dhambi hii?
Kuna Watanzania wanyonge wengi wakubwa kwa wadogo wanaopitia wakati mgumu kabla ya vifo vyao.ni afadhari yeye alikuwa amezungukwa walau na mkuu wa majeshi.Hebu tujiulize.kama mtu aliekuwa kazungukwa na wakuu vipi wengine sisi kina Yakhe? Hebu fikiria wale kina mama wajawazito. ambao mara...
Katika zunguka zunguka zangu,niliwahi kukutana na askari waliokatika kiwango bora sana.kuanzia mavazi yao achilia vifaa vyao.Nikawaomba kupiga nao picha.mmoja aliniuliza kwanini unapenda kupiga picha na sisi Police? Nikawajibu kuwa nimependa walivyo na namna yao ya utendaji kazi wao.kwa kuwa...
Nimeduwaa sana nilipoaoma taarifa hii.Nikajiuliza maswali ambayo hata kama nitapata jibu bado sitaelewa jibu hilo limetokana na swali gani?
Mwisho nikapatwa hasira kidogo tu niseme ile "STUPID" ya mama alipokuwa anapokea taarifa kutoka kwa CAG
Mnaofahamu kizungu watwambie maana "STUPID"[emoji41]
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi...
Huu uwe mwanzo wa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi kama hawa vinginevyo Wananchi wanaweza kuzichukulia kauli kama hizi kuwa wametumwa na kiongozi mkuu wa nchi, hivyo kumchonganisha na umma ambao umekuwa na malalamiko mengi hasa kipindi hiki
Kwa kauli kama hizi.binafsi nazichukulia kama za ubaguzi
Viongozi wanaotoa kauli kama hizi wanapaswa kufunguliwa mashitaka mahakamani ili kuwa funzo.
Haiwezekani kiongozi mmoja anatoka huko anakotoka na kutumia lugha ambazo bila shaka ni ubaguzi na uchonganishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.