Kati yangu nawewe nani hajatumia akiri kabisa?
Bajeti iliyopangwa Kwa ajiri ya mama na mtoto apatiwe huduma Bure hata kama ni miaka 10 kama walichapisha Kwa muda hu ni lazima muda huo ufike ndo mabadiriko yatokee.
Ikitokea badiriko lazima waweke matangazo na kuondoa ya zamani kuwa huduma za...
Wakuu salaama!
Nikawaida sana sisi wanaume kutongoza Tena bila kujari mwanamke anacheo Gani kaolewa ana mchumba au lah.
Mara zote yeye ndo husema kama ana mtu ama ana kazi gani.
Mdada mmoja nilipendezwa nae basi licha ya kuwa najua kazi yake kuwa ni Dr haikunifanya nisite kumtongoza...
Unajua kupenda vya Bure lakni mkuu?
Kadi imeandikwa haiuzwi halafu inauzwa Nini manake yake? Hapa sijasema watu wamekataa kuuziwa la hasha tunataka serikali ituambie rasmi kuwa Kwa Sasa zinauzwa na ziandikwe kadi hiii inauzwa Kwa Tsh 10,000/= wengine wanauziwa 2000,5000 na 10,000/= kwann?
Mkuu hata tungeuziwa 50k tungenunua tu. Swali lipo Hivi kwanini uandike haiuzwi na then iuzwe ikiwa na maandiko hayohayo ya kwamba haiuzwi?
Kuna gharama Gani ikiandikwa kadi hii inauzwa Tsh10,000/= nani hata nunua?
Niambie kwanini gharama za kujifungua mtoto wa kiume ziwe juu na za mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.