Inaonesha ndo walivyojipangia ndani ya mwezi kwnye placement ni pdf 6,ndo wanajilazimisha kuzivunja vunja vpdf wapate vya kuweka tuone wanapiga kazi,maana kama pdf lina majina ya page 2 tu sasa si wangeunganisha tu,maana ukiangalia placement za mwezi huu zingefit tu kwa pdf 2 basiiiiii
Halafu jambo lingine yani psrs hawajiamini kuliko sisi majobless adi nashangaa🤣🤣 wana shida gani,wanaulizwa kwanini matokeo ya oral hayawekwi hadharani yule afisa Tehama anajibu et mkiyajua matokeo yenu au ukijijua upo database hutaenda kufanya interview nyingine,sasa apa shida iko wap waachie...
Kaimu katibu mpole sana ikiwezekana apumzike,wamueke wa moto atetee majobless,moja ya interview anasem kiupole uku anatabasam anaulizwa why placement znachelewa anajibu vibali ndo tatizo uku anasmile as if ili sio shida kwake as long as yeye pesa znaingia na maposho ya kufanyisha watu interviews...
Basi nlitoka online kdogo tu narud nkasem ebu nikachungilie kdg nakutana na kimweku kipya🤣,nkasema huu sasa utakua mzigo wa kwenda alooooo kuja kudownload nguvu zte ziliisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.