Search results

  1. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kadi ya DART ndani yake ina uwezo wa kuandika taarifa za makampuni zaidi ya 10 hivyo ni suala la muda tu kinachofanyika ni ku syncronize na huduma nyingine tu na mambo yanakwenda hakuna haja ya kubeba lundo la kadi wataalam wetu waliliona hilo, yetu ni multipurpose.
  2. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kazi iendelee, Leo tarehe 22/4/2024 shehena kubwa ya Mageti Janja (smart gates) kwa ajili ya kufunga vituoni ili kufungamanisha na mfumo wa matumizi ya kadi janja (smart cards), inaendelea kushushwa pale Gerezani, watumiaji wa Mabasi Yaendayo Haraka muendelee kuwa na imani na Serikali yenu...
  3. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Maoni yanapokelewa na yanafanyiwa kazi ni kwa vile tu watanzania wengi hatupendi kuwa na subra wakati huu ambao serikali inatatua changamoto ya uchache wa Mabasi.
  4. DART Mwendokasi

    Nakerwa na tabia ya wakata tiketi wa Mabasi ya Mwendokasi kudai hawana chenji kila siku

    Ndugu zangu pamoja na matatizo yote ambayo mmeeleza kuna njia mbadala ya kukata tiketi kimtandao unatakiwa kupakua app ya mwendokasi kwenye simu yako ili ununue tiketi kidigitali wakati tunaendelea kukamilisha utaratibu wa kurudisha huduma ya kadi.
  5. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Huduma zetu zinaendelea vyema tafadhali endelea kutufuatilia , yajayo yanafurahisha.
  6. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Pole sana kwa kadhia iliyokukuta wakati mwingine piga simu ya huduma kwa wateja bur 0800110147 ili hatua zichukuliwe kwa haraka, aidha usisahau kutaja muda na mahali ambapo tatizo husika limetokea.
  7. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Uchache wa Mabasi ndio unasababisha adha hii ,lakini maelekezo ya serikali ni kutafuta mtoa huduma mwingine ambaye atashindana na huyu wa sasa ili kuboresha huduma, maelekezo hayo yanafanyiwa kazi na baada ya muda mfupi mtaona matokeo.
  8. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kukamilika kwa ruti kuna maanisha , mosi barabara na miundombinu mingine iwe imekamilika kwa asilimia mia moja na kukabidhiwa, hii inajumuisha pia vituo taa za kuongozea magari, taa za barabarani vituo mlishi n.k. , sambamba na hilo awe amepatikana mtoa huduma mwenye uwezo wa kuwa na idadi ya...
  9. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Serikali iko kazini na kama ulifuatilia juzi ziara ya Waziri Mchengerwa alitoa maagizo ya kuongeza watoa huduma zaidi ya mmoja ili kuleta ushindani huo ndio mwelekeo tuvute subra mambo mazuri yanakuja, hakuna mtu yeyote anayefurahia watanzania kuteseka kwa adha ya usafiri ni suala la muda tu.
  10. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    kinachozungumziwa hapa ni daladala kupita kwenye njia maalum za BRT sio route za kawaida za njia za mitaani ambazo zimeainishwa na Mamlaka ya LATRA. habari hii ilisema daladala kuanza kutumia njia za mwendokasi ili kusaidia mabasi jambo ambalo sio sahihi. Umewahi kuona wapi daladala inapita...
  11. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mfumo huu ulikuwepo awali lakini ilitokea changamoto ukaharibika ndiomaana hata utaratibu wa kutangaza vituo haupo, kwa sasa tuko kwenye hatua za kununua mfumo wa ITS inteligent transport system ambao utakuwa ukitumika kuongoza magari, kupanga ruti, sambamba na masuala yote yanayohusu vituo...
  12. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Hakuna taarifa iliyoeleza kuwa usafiri utaanza mwezi huu wa kumi isipokuwa kulikuwa na taarifa za mradi kukabidhiwa serikalini baada ya mkandarasi kumaliza ujenzi.
  13. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Hakuna ukweli katika jambo hilo, kwanza daladala uwezo wake ni mdogo katika kubeba abiria wengi, pili miundombinu ya vituo hairuhusu kushusha na kupakia abiria kwani daladala ni fupi na hazijatengenezwa kwa ajili ya BRT.
  14. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    njia mbadala zitaainishwa na mamlaka husika ili kupunguza msongamano, pia mkandarasi atakuwa anafanya kazi zaidi usiku pia kupunguza changamoto hiyo.
  15. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mkandarasi ameshakabidjhiwa eneo la ujenzi na sasa ameanzakuandaa materials kwa ajili ya kuanza ujenzi mara moja, jana kama umefuatilia katika mitandao yetu ya kijamii ya intsgram, facebook, na X(twitter) ya @dartmwendokasi utaona hata mfadhili Benki ya Dunia alikuwa saiti kuangalia maandalizi...
  16. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Oktoba hii tunakabidhiwa miundombinu ikiwa imekamilika kabisa, baada ya hapo utasikia kutoka kwetu kuwa ni lini tutaanza huduma endelea kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii ikiwemo JF.
  17. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Tunakoelekea ni kuzuri tutaanza na matumizi ya Gesi asilia na hatimaye kwenye matumizi ya magari ya kuchaji kwa umeme na hata solar, lengo ni kuelekea katika matumizi ya nishati ambazo hazichafui na kuharibu mazingira kama vile matumizi ya umeme.
  18. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Tunakushukuru sana kwa maoni yako ya kuboresha huduma zetu, mawazo yako ni mazuri sana na baadhi yake tumeshaanza kuyafanyia kazi ikiwemo utaratibu wa kuwa na Mabasi mahsusi yenye viyoyozi lakini pia kuwa na VIP buses, aidha tunaendelea na mchakato wa kuwa na sheria yetu ambayo itaturuhusu...
Back
Top Bottom