Nifatilie nini cha ziada wakati ni msimu juzi tu. Hajafanya cha maana chochote akiwa Everton hajafanya hata robo ya alichokifanya Emery Villa.
Alipopata ofa ya Madrid hakujiuliza mara 2 akatimua mbio.
Ancelloti kila sehemu aliyofundisha (timu kubwa) kweli kabebd makombe lakini mwisho wa siku...
Yeah ni aina ya wachezaji kama Richarlison,Vini Diego Costa unawachukia ukiwa team pinzani.
Niwe mkweli Jamaa linanikera vile linavojivuta taratibu kuelekea kwa kipa wakati wa kona na sura yake serious😂
Lijamaa linakera sana. Sema kwa kuwa lipo kwa timu yao basi wanaona sawa.
Sheria msimu ujao inabidi zibadilishwe huyo Jamaa anachezea sana rafu makipa kwenye kona nadhani ndiyo maana Arsenal wanafunga magoli mengi ya kona.
Giwiji la Highbury lipo kamili gado mjini twitter linashusha madini. Sema kutoa jina la account labda atoe mwenyewe 😀
Ila kumtafuta ni rahisi sna kama kweli una nia. Mimi haikuchukua hata dakika 5 kuipata account yake masingeli twitter 😀
Mashabiki wa Arsenal wamevamia oage ya WOOD wanaporomosha matusi kwamba amepokea bahasha 😀https://www.instagram.com/reel/C5Ru6wNqNDl/?igsh=MTBwdTZ5OXZrbGFkeg==
Bado hujasomeka mkuu. Sijaelewa tofauti ya "The great Britain" na "United Kingdom".
Siyo kwamba "The great Britain" na "United Kingdom" zote zinawakilisha muungano wa nchi tajwa ila tofauti yake ni majina tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.