Wanaforum, Salaam sana!
1. Nawashukuru sana kwa makaribisho.Ukaribisho uliotoka kwa "Senior Members" kadhaa na wengine wote naupokea kwa heshima kubwa.
2. Nimesoma dhamira yenu thabiti ya kupenda kuendelea kutumia "pen names". Hoja zenu zina msingi na sina sababu ya kuendeleza mjadala wa...
Salaam Wana JF.
Kwanza kabisa naomba niwapongeze wale walioanzisha forum hii kama sehemu ya matumizi ya uhuru wao binafsi. Aidha, niwapongeze kwani forum hii ni sehemu ya harakati muhimu ya kujadili mustakabali wa nchi yetu.
Nimesoma maoni, pongezi, malalamiko, hofu, ushauri na mambo mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.