Ukijifunza mkakati huu Itakuwa sio lazima u post kila siku biashara yako, ni mara moja tu , na ndio muda sahihi wa kulipia tangazo lako yaan sponsored ad ambayo inaweza kukupa matokeo
https://mailchi.mp/c19b07d53f1b/fursa-mtandaoni-kiuchumi
Mimi naweza tena kukutengenezea vizuri kabisa
Android App ambayo itakupa uwezo wa kuweka taarifa kwenye mtandao
Na web ambayo ukitaka ikusaidie kuweka taarifa mtandaoni
Ila sasa kwa muda ambao utakuwa unataka excel unai download na kuifungua kwenye computer yako anywhere in the world...
Ingia YouTube Channel ya Jiku Tech Tips kuna playlist imeandika Android Programming itakusaidia
Na vilevile karibu katika mafunzo ya android programming
Ada ni Tsh 5000 unapata kitabu cha namna ya kufanya installation na kutengeneza project 2 za mwanzo
0682329852
App hauandai tu kama kalatasi
Lazima uwe na software zinaitwa SDK
Wakati una unda app unatakiwa kuwa online haijalishi app yako itakuwa ya offline au dynamic
Kwa kuwa kinacho tengeneza ni software na software inategemea resources kutoka sehemu mbalimbali kulingana na code zako
Kama software...
Mada
Software Development
Mwelekeo wa tasnia ya kutumia kutekeleza program yako
1. Ama. Web development
2. Mobile App development
3. Ama Desktop App development
4. Ama Analytics Systems
N.k
- Nadharia zenye msaada kwenye software development
A. Data structure
B. Algorithms
C. Object Oriented...
Sio chuo wala taasisi ya mafunzo
Ni street programming and development technique
Walikuja watu kadhaa wanataka kuwa kama mimi siku za nyuma
Kwa kua nikuchukua muda ikabidi iwepo gharama kidogo ya mafunzo
Ndio maana hakuna ada ya maombi ni kulipia kile ambacho utakuwa umejifunza
Kuna...
Shida mtu unakuwa unachanganya mambo
Sikupi guarantee ya kupata pesa baada ya kusoma kwamaana sina uhakika kama utatekeleza mapendekezo.
Yaliyomo ndani
Soma vizuri content yangu upate nadharia ya namna ya kutengeneza pesa mtandaoni Kisha Tekeleza moja ya namna nilizo zipendekeza kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.