maisha ni ujinga tu sijui tunafanya nini hapa duniani kifupi tunazaliwa ili kungoja siku ya kufa.! na kuhusu shetani hio niuongo tu maana hana kitu chamaana alichofanya nichukue kama ushaidi wa uwepo wake.!
hatuna undugu na wazungu wala warabu. ila kwakigezo Cha Jesus Christ na samwaleko ndo watu wanagawana wazungu na walabu kuwafanya ndugu zetu.! mother fucker
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.