Humuhimu wa nini kinacho takiwa ni hela tu hizo shule vyuo na mahospitali mnayo jivunia yako kibiashara ndio maana hata waisilamu usoma huko wewe hapo kama huna hela uwezi tibiwa wala kusoma hata uwe mvaa msalaba kila siku wenye kinyago cha Mungu wako yesu kama huna hela kanisa linakuona...
Wanamjengea nani? utaugua ugonjwa wa moyo kwa chuki ulionayo waarabu hata uwachukie lakini unanufaika nao kwa kodi zao na ajila wanayo itoa hata kiswahili lugha ya kiswahili imechukua sehemu kubwa ya lugha yao
Wewe na waisilamu nyote hali 1 tu tena bora ya waisilamu wakiugua wanatibiwa kwa hela zao kuliko wewe ubae kamuliwa kila siku ya j 2 ukiugua bila hela utibiwi kanisa sio rafiki kwa mtoa sadaka
Tuchukulie madakilari wote ni wakirito wewe unanufaika na nini kwenye mishahara yao?au wanakutibu bule kazi kusifia mali za wanaume wenzio mali ya kanisa sio yako baba hiyo ni biashara za wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.