Search results

  1. Colly 7

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita ibadilishwe kuwa Elimu ya Vyuo vya kutoa ujuzi

    Trade stream ndiyo inayopaswa kifuatwa ili kuendana na dunia ya sasa!
  2. Colly 7

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita ibadilishwe kuwa Elimu ya Vyuo vya kutoa ujuzi

    Na tutakula chuya sana kama serikali haitofunguka kifikra.
  3. Colly 7

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita ibadilishwe kuwa Elimu ya Vyuo vya kutoa ujuzi

    Ni kwelii kabisa, mimi napendekeza itumike English kwanzia primary
  4. Colly 7

    SoC03 Elimu ya Kidato cha Tano na Sita ibadilishwe kuwa Elimu ya Vyuo vya kutoa ujuzi

    Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza nini maana ya elimu wa kidato cha tano na sita (yaani "Advanced Level"), nilikuwa sipati majibu zaidi ya kwamba ni daraja la kujiunga na chuo kikuu (kama ufaulu ni mzuri), na kurudi kwenda kusomea Stashahada, sawa na wale walimaliza kidato cha nne (kama ufaulu...
  5. Colly 7

    SoC03 Walimu wa shule binafsi wawe na hadhi sawa na wale wa shule za serikali

    Kimsingi, shule zote (za msingi na za sekondari) zilizosajiliwa, zipo chini ya serikali, na hivyo zinasimamiwa na Ofisi ya Rais, Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Shule zote, ziwe ni za serikali au za binafsi, zinawajibika kufuata...
  6. Colly 7

    SoC03 Tatizo la ajira laweza kuisha na kubaki kuwa historia Tanzania

    Watanzania wamekuwa wakiamini uzalendo ni kuwa maskini.
  7. Colly 7

    Ni Star gani maarufu zaidi kati ya hawa magwiji wawili kutoka kwenye Muziki na Mpira wa Miguu?

    Achana kabisa na moto wa Cr7 kabisaa, kwanza ndo anaongoza kwa wafuasi wengi Instagram hii ni kiashiria tu cha umaarufu wake zaidi lakin njoo mtaani muulize mtoto yyte kam anajua beyonce achana na watoto wa kishua fata hawa wengine uone kama watamjua. Ronaldo ni nomaa.
  8. Colly 7

    SoC02 Elimu ya sasa haimkomboi kijana wa Kitanzania

    Elimu hii ya ufundi stadi ikianza kutumika mashuleni, itapunguza gharama nyingi ambazo serikali inakumbana nazo mfano gharama za utengenezaji madawati ni kubwa sana mpaka hupelekea wanafunzi wengi kukaa chini kwa kukosa madawati ya kutosha hivyo kwa kupitia elimu hii ya ufundi stadi serikali...
  9. Colly 7

    SoC02 Serikali imfutie Mwananchi Tozo za Moja kwa Moja

    Kwel kabisa, ni wazo zuri sana tukipata huduma nyingi kwa njia rasmi, tutaweza kuongeza mapato yakutosha na hivyo tozo za kugusa uchumi wa mmoja mmoja hazitahitajika.
  10. Colly 7

    SoC02 Uchumi wa Gesi Asilia Umnufaishe kila Mwananchi

    😂😂@ Neema Dodoo nimecheka kwa sauti kubwa, anyways pole yenu pia serikali inabidi iliangalie hilo kwa kina kwani tuna rasilimali za kutosha ila bado hatujajua namna bora ya kuzitumia, tukiweza kufatisha wazo la Tukuza hospitality uchumi wa nchi yetu utakua ni mzuri.
  11. Colly 7

    SoC02 Tupunguze Mfumuko wa Bei kwa Kuwawezesha Wamachinga kuuza Nje ya Nchi

    Sahihi, wengi wanadhani nje ya nchi ni ulaya labda na marekani tu
Back
Top Bottom