Ni mwanangu nilikuwa na chat nae, wamemgomeea kubadilisha hiyo remark.
Jamaa alikuwa Dodoma anamuuguza Mother wake, kaja kupiga paper kafaulu lakni nashangaaa figisu ya not selected.
cjuii iyo nafasi anapewa nan?? Ila sio fair.
Sasa Utumishi waachie Mkeka wetu wa kuitwa kazini. tujijuue kama tupo au hatupo. maana tumetimiza siku 60 kimya.
Maana skuiz naona paper zina tungwa kw kukomoanaa [emoji23][emoji23]
Kwa Kada yangu maswali yalikuwa ya Multiple Choice. haya ku base katika cozi yangu kabisa
Yalikuwa yame base kweny ICT, RESEARCH na TEACHING ODL. bas
Maswali yalikuwa 40. DK ni 40 pia.
Japo kuna wenzangu wa kada nyingine walitolewa mswal ya kuji explain akituliia nita muuliza n maswal gan...
Utumishi wameitwa watu wa PPRA kwenda kwenye Usahili Dodoma.. naona mida ya Mikeka kutema imewadiiia.
Hapa kama ulipata nafasi ya Sensa na umekuwa Shortlisted linakuwa pigo nalo hilo[emoji2][emoji2]
Hapana Mkuu kuna baadhi ya Kozi huwa zinahiyaji wataalam kutoka Field husika.
Mfano Chuo cha Muhas lazima ukute Lecturer wa Development Studies (DS) , LECTURE wa IT. japo hizo coz hawatoi hapo.
Kiufupi OUT wana coz z Education so lazima wasake wataalam kwny Field husika
Mkuu wewe jaribu tu maana hamna namnaa, kama ipo ipo tu. kikubwa tupambane
By the way Utumishi wapo pia Dar es salaam hapa.
So Probably wawakilishi lazima wawepo.
maana nilishawahi fanya Usahili UDSM, Wawakilishi wa UTUMISHI walikuwepo tena wa3 kweny venue siku ya Written INTERVIEW na cku ya...
Mkuu kwa Kada yangu Siwezi tobooa maana nina Course kama 36 kwa semister zote 6.
na kingine nipo kitaa mda mrefu.
labda kama mtu anajuua mfumo yao ya utoaji hapo sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.