Wadau!!
Nimeanza na tiba ya kitunguu swaumu nimekimenye na kukisaga kisha nimepaka kwenye nyayo za miguu.
Je kitabibu inasaidia?? Maana hili wazo nilipewa na mtu.
Shukrani sana mkuu. Mafuta ya mzaituni nilikuwa nishayaweka kwenye list kwenda kuyanunua apo kesho.
Mengine ni mafuta ya abatsoda, pia nataka nimtafute shekhe aje anipe kisomo
Mi ni muislamu bado sijawa na imani na mambo ya kikristo. Ila shukurani nitalifanyia kazi kwa kuhudhuria makanisani maana kwenye matatizo kama haya nisiweke udini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.