Search results

  1. Mohamedex121

    Msaada wa tafsiri za ndoto hizi

    Jikite sana kufanya ibada za usiku hasa sala ya tahajudi
  2. Mohamedex121

    Depression inaniua

    It's okay
  3. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Vipi wadau !! Hivi mazoezi nayo yanasaidia kuondoa ganzi kuna kanishauri niwe nakanyaga kokoto na nyayo za miguu peku ??? Nayo hii itasaidia wakuu?? Natanguliza shukurani
  4. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Sawa shukurani sana mkuu! Swala za TAHHAJUD niliziacha kwa muda ngoja nizirejee haraka sana
  5. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Wadau!! Nimeanza na tiba ya kitunguu swaumu nimekimenye na kukisaga kisha nimepaka kwenye nyayo za miguu. Je kitabibu inasaidia?? Maana hili wazo nilipewa na mtu.
  6. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Ngoja nianze na tiba za kisuni mengine yatafuta kidogokidogo kama tatizo likiendelea kuzidi
  7. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Sawa mkuu ngoja nipambane na tiba za kisuni ikishindikana tutaangalia ustaarabu mwingine
  8. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Hata mimi niliamini hivo ila mwaka huu baada ya mauzauza nimeamini uchawi upo
  9. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Shukrani! Unaweza kunipa list ya dawa za kununua maana hata huku dar machimbo ni mengi sema..
  10. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Shukrani sana mkuu. Mafuta ya mzaituni nilikuwa nishayaweka kwenye list kwenda kuyanunua apo kesho. Mengine ni mafuta ya abatsoda, pia nataka nimtafute shekhe aje anipe kisomo
  11. Mohamedex121

    Nahisi Nimetupiwa kombola la kichawi usiku wa kuamkia leo, nahisi ganzi kwenye nyao za miguu, viganja vya mikono na mdomoni

    Mi ni muislamu bado sijawa na imani na mambo ya kikristo. Ila shukurani nitalifanyia kazi kwa kuhudhuria makanisani maana kwenye matatizo kama haya nisiweke udini
Back
Top Bottom