Samsung S10+ naiuza bei sawa na bure haina kipengele chochote wahiii uipate kabla haijauzwa
Storage ram 8 rom 128
Camera clear
Charge ok
Fingerprints ok
No topup
Price 380,000
Location tegeta kibo
Piga sim 0653 271 318
Habari zenu humu,
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu 24 ni fundi umeme wa magari nimejiajiri ila game ni ngumu sana huku mtaani hvyo natafuta kampuni au taasisi yoyote yenye uhitaji na fundi umeme wa magari pia nipo tayari kufanya kazi popote na pia kwa mwenye kazi hata nje ya taaluma yangu pia...
Habari zenu humu me ni kijana wa kiume umri wangu 24 ni fundi umeme wa magari nimejiajiri ila game ni ngumu sana huku mtaani hvyo natafuta kampuni au taasisi yoyote yenye uhitaji na fundi umeme wa magari pia nipo tayar kufanya kazi popote na pia kwa mwenye kazi hata nje ya taaluma yangu pia nina...
Sasa kama upo tegeta siungeenda pale magereji kazi zipo kibao za ufundi pia mama ntilie na nyingine kibao mdugu mwandish kama kweli ww ni muhitaji wa kazi nendo pale magereji opposite nankibo complex
Over
Habari yako mkuu
Je naweza kupata mali zangu niliibiwa nyumban Kwang mnamo tar 21/3/2022 niliibiwa vitu Virginia sana I'll kwa sasa hivi nahitaj nipate viwili kati ya vitu vyangu vilivyoibiwa je naweza kupat mkuu kama inawezekana 0653271318 nisaidie mkuu niweze kupata kama inawezekana.
Nicheki...
Unaongelea trend na reli za wapiii hapa Tz au nchi za huku nilipo me mzee baba #CHINA kama za hapo kwenu Tz ni njaa za dereva tuuu Hakuna ufundi stad wala Uzumaki mzee
Yani hapa ndo naanza kumuelewa msanii wa kizazi kipya roma mkatoriki kwenye kibao chake #narudiZimbabwe kumbe siri akutuambia kwanini anataka kurudi Zimbabwe [emoji1269]
Daaaah kwakweliii nipo pamojq na mtoa mada maana huko nchiniii Zimbabwe utajiriii simple tyuu wananunua vidole vya miguu kwa madola yaniii iko hiviii
•Kidole gumba vha mguuni $7000
•kidole cha katii cha mguuni $9000
•Kidole kidogo au cha mwisho cha mguuni $10000
Kwahiyo naamini hiii nayo ni...
Habari zenu poleni na mihangaiko ya kila siku niende moja kwa moja kwenye Lengo nauza hiyo mashine ya kuoshea magari
☆Sifa zake:
》Inatumia umeme tu
》Ni mpya kabisa ipo kwenye box lake
》Pump yake ina nguvu ya pressure 150 Bars
》 PSI ya 2,300 Kwa nguvu ya hio pump.
》Inaweza kupump lita 400 za...
Ww hauna kitubkama hicho maana kule watu wanachukua apartment kwa kuchangia na hazifiki hyo gharama unasema ww pili kama unaenda kwa ajili ya kufata mzigo unafanya jambo moja tuuu kama unaenda kwa ajili ya kula bata sawa watu wanaenda na mil 5 na wanarudi na mzigo wa kutosha tuuuu pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.