Sawa mkuuu
Ni simu kama tunavyoosema samsung
Ni kampuni ya simu
Maarufu kama simu za mjapan
Roho ya paka simu ni ngumu
Nzuri sana kwa shughuli za apa na pale
Zinakuja na space tofauti tofauti kama 32,64
4G network
Apo juu kwenye hii post kuna mwamba ame specify vizuri unaweza kupitia ukasoma
Nimeishi kote piaa
Nipo mkoaa
Dsm sio sehemu yakuishi kwa mimi binafsi kama ni kijana unajitafuta , hilo nakubali
Ila uniambie dsm watu wanaikimbia ? Kuliko wanaoingia?
No bro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.