Hii sio mkopo fasta hii ni kukusanya pesa toka kwa wateja ambao ni wafanyabiashara wenye maduka walionunua bidhaa kwa credit, sio ishu za kausha damu hizi 😀, ingawa pia kijana anatakiwa awe imara
Credit collector vacancy:
Tasks:
Report to : Team leader (Immediate Supervisor)
-To collect not less than 750k per day from business debtors within given territory and to issue accurate receipts to the given collection and submit the collected payments to the company cashier or deposit the...
Wakuu kwema sijaona mkeka wa kuwaita watu interview ya TIC ila nimejibiwa hivi kwenye portal na mkeka haujatolewa wiki ya tatu Sasa inaenda hii maana yake Nini?
Kuna vitu ukisikia vinasikitisha sana yani unageuzwa zuzu na kiwanja ni chako😂 unaenda kukikabidhi mahakamani da haya maisha Bila Mungu hatutoboi, Yesu atulinde sana aisee maana gizani ni hatari.
Amina Mtumishi nimekuelewa vyema na haya uliyosema ni sahihi kabisa kiukweli nimekua na kiu juu ya watumishi wa Mungu wawe wanajua level zao za huduma hata wakipata watu na matatizo yao wajue namna ya kusolve kwa usahihi au wasione haya au vibaya kukubali tatizo ni kubwa kuliko level yao watoe...
Kweli haya mambo yapo deep sana tuombee Mungu atufumbue macho tuone tunayopaswa kuyaona vyema na yasiyotuhusu tuepushwe nayo yasije yakatupotezea muda Mtumishi,
Barikiwa sana Mtumishi utuoombee kibali na Sisi tupokee Upako huu wa macho angavu ya rohoni angalau kwa kiwango cha kututosha...
Kwa hiyo inawezekana ikawa jukumu lako la kiroho ilikua uwe Daktari maisha yakakufundisha uwe askari kwa hiyo unakua umebeba nafsi mpya kinyume na roho yako sio yaani kuacha lile jukumu au lengo la msingi, NB:hili naona ni tatizo linalotusumbua wengi maishani kuwa na multiple self within one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.