Hata wewe mwenye uhitaji wa leseni ya ufungishaji ndoa(licence to celebrate marriages),mfano wachungaji n.k
waweza kufanya mawasiliano usaidiwe kuipata.Karibu.
Huna haja ya kuwaza kuwa ntawahi kweli kufika eneo nikafanye site visit ilhali DODOMA MESSENGERS wapo na wanauzoefu wa kuifanya hiyo kazi.Fanya mawasiliano kwa 0765920855 useme ni wapi umeona tender,toa maagizo,ufanyiwe kazi na kupewa mrejesho wa uhakika
317
Wewe mhitaji wa leseni pale MCT,chakufanya ni rahisi tu,andaa barua yako ya kuchukuliwa leseni husika halafu tuma kwa 'Dodoma messengers' kwa 0765920855 kwa whatsapp,then omba uchukuliwe.Utaipata hukohuko uliko pasipo kulazimika kusafiri
Kwa wewe uliye mbali na jambo lako halikulazimu kuwepo eneo la kupatiwa huduma,usisite kufanya mawasiliano kwa 0765920855,hata wewe ambaye upo DODOMA, unaweza kufanya hivyo.
Kuna wadau walikua wanawasiliana namimi kuhusu kuanzisha Kwa Dar,sijajua kama walishaanzisha au laa,bilashaka wakiona hiyo komenti yako wanaweza wanawasiliana nawewe kama walianzisha.
Fikiria safari ya kutoka Mwanza au Bukoba,uchovu unaoupata,nauli zinazotumika na mambo mengine,halafu ufikirie kuepushwa na hayo yote,kwa gharama nafuu hasa unaposaidiwa kupata huduma stahki,huoni kua ni jambo jema ukifanya mawasiliano na DODOMA MESSENGERS?
Piga au tuma sms muda wowote,upewe...
Ungana na wenzako wenye mambo yasiyowalazimu wao kuwa maeneo ya kupatiwa huduma kwa kuwasiliana na DODOMA MESSENGERS kwa 0765920855,uweze kusaidiwa kushugjulikia kwa gharama nafuu.
Hii ni kwa wewe uliye mbali na DODOMA au upo DODOMA ila umebanwa na kazi nyingine
Hata wewe mwenye uhitaji wa;-
📍USAIDIZI WA KUPATA HATI MILIKI YA ARDHI ILIYOPIMWA
📍KUOMBA KIBALI CHA UJENZI
📍KUANDAA MIKATABA YA KISHERIA YA ARDHI
Na nyinginezo... waweza kufanya mawasiliano.
Epuka safari zisizokua za lazima kuja Dodoma,wasiliana na Dodoma messengers,uhudumiwe kwa weledi endapo shughuli yako haikulazimu wewe kuwepo eneo la kutolea huduma.
Mawasiliano yafanyike kupitia +255765920855,uokoe gharama mbalimbali zinazoweza kuepukika.
Miongoni mwa huduma ambazo zimekua zikitolewa ni kama;-
-Kufanya SITE VISITING na kumpa mrejesho mhusika.
-Kutafuta na kufanya booking ya vyumba kwa wageni kabla hawajafika Dodoma.
-Kufikisha jambo la mteja hasa kama anapiga simu haipokelewi mahala husika.
Hizo ni baadhi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.