Search results

  1. Ofsaa

    Nini kitatokea usipochukua Barua ya Kazi Utumishi?

    Habari wana Jukwaa nina maswali kadhaa ambayo nimekutana nayo kwa watu wa karibu nikaona niwashirikishe kupata mawazo yenu. 1. Hivi ukiitwa kuchukua barua ya kupangiwa kituo cha kazi na usipoenda kuchukua, zikitokea kazi nyingine unaweza kuomba au unazuiwa kuomba tena kazi Utumishi? 2. Ukiitwa...
  2. Ofsaa

    Natafuta kazi nina Diploma ya IT, Dereva, Data Clerk na Graphic Designer

    Wap kwa Maana ya mkoa, Dar Es Salaam Wap kwa Maana Ya Chuo New Vision VTC
  3. Ofsaa

    Natafuta kazi nina Diploma ya IT, Dereva, Data Clerk na Graphic Designer

    Ni kazi nilizokuwa nafanya kwenye kampuni hauruhusiwi kuzi post sehem nyingine naweza shtakiwa
  4. Ofsaa

    Natafuta kazi nina Diploma ya IT, Dereva, Data Clerk na Graphic Designer

    Habari wana jF Majina: Rashid Jinsia: Kiume Elimu: Diploma IT, Driving Certificate Mahali ninapoishi: Dar Es Salaam Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT, ili niweze kujikwamua na uchumi. Nina Uzoefu Sehemu hizi 1. Graphics Designing and large Formating Printing Skills 2...
  5. Ofsaa

    Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT

    Shukran Ndio kaka nishajaribu kwenye hili ila sikufanikiwa
  6. Ofsaa

    Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT

    Yah kaka nafanya hivyo ndo inanipa nguvu ya kuzid kutafuta zaid
  7. Ofsaa

    Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT

    Shukran ukiona fursa usisite kunistua
  8. Ofsaa

    Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT

    Habari wana jF, Majina: Rashid Jinsia: Kiume Mahali ninapoishi: Dar Es Salaam Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT, ili niweze kujikwamua na uchumi. Nina Uzoefu Sehemu hizi 1. Graphics Designing 2.Data Clerk 3.Photographing 4.Marketing (Digital Marketing) With...
  9. Ofsaa

    Canon 1200D for sale(Inauzwa)

    Sawa mkuu
  10. Ofsaa

    CANNON 1200D FOR SALE (INAUZWA)

    Bado ipo clean kama mpya haijatumika muda mrefu iko kwenye condition nzuri Inashoot movie Memory 8GB Mkanda Charger Lens 18 - 55 Bei 650000/= maelewano pia yapo Nipo Mombasa Ukonga
  11. Ofsaa

    Canon 1200D for sale(Inauzwa)

    Bado ipo clean kama mpya haijatumika muda mrefu iko kwenye condition nzuri Inashoot movie Memory 8GB Mkanda Charger Lens 18 - 55 Bei 650000/= maelewano pia yapo Nipo Mombasa Ukonga
  12. Ofsaa

    Natafuta nafasi ya Uingizaji wa Data (Data Clerk)

    Habari wakuu, Ninashida na kujua wap wanatoa nafasi za data clerk part time kwa hapa Dar. Nauliza hapa kwa sababu humu kuna watu mbali mbali wanaofanya kazi mbali mbali Elimu Diploma in Information Technology Uwezo binafsi: Graphics Designer, Photographer, Mawasiliano 0627225627 Kazi...
  13. Ofsaa

    IT Officers (3 Post) at Barrick Group Tanzania

    Waswahili hawa hawajawai ita hata zile nafasi za mwanzo saiv wanaita wengine tena
  14. Ofsaa

    Naomba ushauri wa namna ya kupata ajira jiji la Dar es Salaam

    Hujawahi jibu message yangu inbox
Back
Top Bottom